Mwabukusi na Godbless Lema Watikisa Moshi Mjini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,984
221,537
Mtikisiko huo kabambe umetokea kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa mjini humo

Ajenda kuu ya mikutano ya sasa ni kuwaamsha Wananchi kudai haki zao ikiwemo Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushiriki Wiki ya Maandamano

Screenshot_2024-04-11-14-50-01-1.png


Huku wananchi wengine wakiendelea kusisitiziwa kwamba SHETANI hana na wala hajawahi kuwa na rafiki

Hali ilikuwa hivi

Screenshot_2024-04-12-20-48-54-1.png
Screenshot_2024-04-12-20-48-22-1.png
 
Mtikisiko huo kabambe umetokea kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa mjini humo

Ajenda kuu ya mikutano ya sasa ni kuwaamsha Wananchi kudai haki zao ikiwemo Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushiriki Wiki ya Maandamano

View attachment 2961830

Huku wananchi wengine wakiendelea kusisitiziwa kwamba SHETANI hana na wala hajawahi kuwa na rafiki

Hali ilikuwa hivi

View attachment 2961832View attachment 2961833
Masikini mwabukusi,amedanganywa na mwizi wa magari
 
Mtikisiko huo kabambe umetokea kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa mjini humo

Ajenda kuu ya mikutano ya sasa ni kuwaamsha Wananchi kudai haki zao ikiwemo Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushiriki Wiki ya Maandamano

View attachment 2961830

Huku wananchi wengine wakiendelea kusisitiziwa kwamba SHETANI hana na wala hajawahi kuwa na rafiki

Hali ilikuwa hivi

View attachment 2961832View attachment 2961833
Hiki ndio kimewachanganya wale wengine wazee wa Kunyonya damu a.k.a Chawa
 
Wamechelewa sasa hivi wangepigania unga na nyama vishuke bei!
Mipango mibovu ya serikali ya ccm ndio inayofanya bidhaa hizo zipande bei,pia acha kutegemea watu wakupiganie,ukiona kwako unga umepanda bei fanya push back yako ,usikimbilie humu na kulalama
 
Mipango mibovu ya serikali ya ccm ndio inayofanya bidhaa hizo zipande bei,pia acha kutegemea watu wakupiganie,ukiona kwako unga umepanda bei fanya push back yako ,usikimbilie humu na kulalama
Wewe mbona sijakuona kupigania hiyo katiba unaacha watu watangulize sura zao wewe umejificha!
 
Back
Top Bottom