Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,769
Assad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
Inna al-dīn ‘inda Allāh al-Islām
Assad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
Ahaha kamanda vipi?
Wengine Elimu hatukubahatika Mkuu
Assad ni mtu muadilifu ila inamapungufu yake.... Jamaa ni mdini sana...
Una ukweli gani kwanza hii uliyotuandikia. Isijekuwa unataka watu tutoke mapovu humu kumbe issue ya kupika. Maoni yangu namtakia kazi njemaCAG mstaafu;Musa Asad ameingia mkataba wa miaka mitatu (2019-2022) wa kukagua hesabu zote za fedha za misaada inayotolewa na swedan kwa Tanzania.
....................
Una maoni gani kwa Asad na kwa serikali ya Tanzania?
We si mpigaji tu hpo lumumbaAhaha kamanda vipi?
Wengine Elimu hatukubahatika Mkuu
Mjinga wewe unayeomba hizopesa kwaoHahaha vichekesho vingine bana
Ina maana wao Sweden hawajiamini mpaka wahitaji mtu wa tatu kukagua mahesabu yao? Au wanafikiri kwa kufanya hivyo ni kumuumiza Magu? Hahaha wajinga kweli
Kashaupata swedenHaiwezi kulingana na uCAG weweee! Jamaa anaumia ujue. U CAG!!!!
Ninashaka shaka chovyachovya asije akawa aliomba alivobaniwa anaaza kuleta vikwazo kwa c. Ag e wetuHapo kwa mke hapo mmh,
Unashauri apewe ubalozi mkuu........!
Karibia wataanza kufuatilia uraia wake
24 MAY 2019Una ukweli gani kwanza hii uliyotuandikia. Isijekuwa unataka watu tutoke mapovu humu kumbe issue ya kupika. Maoni yangu namtakia kazi njema
Hebu elezea udini wake au mnajisikia kuandika uharo?Akiacha Udini atawork hata WB
Mhuuuu,imekaa vibaya kwaserikali ya Tz,Assad anamke mzuri kwelikweli
Mdini sana, kama tu Ramadhan DauHebu elezea udini wake au mnajisikia kuandika uharo?
Duuh ahsante kwa ushauri wako ila kama wewe umezoea ku-take over majukumu ya dada yako chumbani na ukapandishwa cheo naomba nikupongeze maana wewe ni wakipekee, mimi sitaweza.Mwambie dada yako apunguze kuwa gogo hela za daladala zitakuwa nyingi usihofu. Kama akizidiwa take over majukumu ya dada chumbani shemeji atakupandisha cheo