Mungu tuepushie tusamehe kuna wengine hatujui tuyatendayo (VIDEO)

Sijui kama unajua kilichotokea tahrir square kilianzishwa na fb, jamaa mmoja alikuwa anauza duka la madawa akaanxa kupost kwamba haridhiki na utawala
Hapo chanzo ni utawala, utawala ungekua mzuri hata angepost Mara 20000 yasingetokea yaliyotokea.

Aman inaharibiwa na wakubwa, huku mitandaoni ni sehem pekee kwa wananchi wanyonge wasio na pakusemea ndipo wanaposemea

Kama walau mambo yapo vizur mtu huwezi pata sapport
 
Mitandao imetuharibu sana watu wanatukana, wana andika maneno ya uchochezi bila kuelewa athari zake Tanzania ni miongoni mwa nchi chache ambazo hazina travel advisory nimefanikiwa kutembea nchi kadhaa kukuta maiti nje ya nyumba ni sehemu ya maisha nashangaa kuna mtu anadiriki kusema eti tumechoka amani ya kise...... nakumbuka wakati mabomu ya mbagala na gongo la mboto yalilipuka tena kwa bahati mbaya ilitokea taharuki watu walivurugana jiji zima watu walikimbia kwa miguu wakielekea muelekeo wa morogoro bila kujua wanaenda wapi nashangaa hii mitandao mtu anadiriki kuandika post yenye uchochezi sababu tu ya kulipwa au ushabiki naomba uangalie video hapo chini ni nchi jirani tu ya Kenya Mungu hakupi kila kitu tuna mapungufu yetu lakini amani yetu tuililie mpaka mwisho

Nyerere angekuwa na mawazo kama yako,aijui tungekuwa wapi leo!
 
Ni vyombo gani hivyo unavosema ni imara! Huo uimara unaupimaje?
Kwa kudhibiti wapinzani?
Kuwaweka watu ndani\uchochezi?
Watu kutekwa na wao hawajui ndo uimara?
Ni uimara gani usioweza kuzuia uporaji mitaani?
Hawa wanaovamia studio ndo unaoeasifia! Mafi...yaaako!
Unakulaga mavi wewe, we leta fyokofyoko, ndio utajua kazi ya hivyo vyombo.
 
Binafsi mimi nina maendeleo sijui wewe, ratiba yangu nikiamka naenda kutafuta riziki kwa ajili yangu na familia kisha nahakikisha nina ada ya kulipia wanangu mwaka mzima kama kipato hakitoshi najishughulisha na kilimo, watanzania sisi ni wavivu hatuna exposure hata lazi za udereva EAC kuna watanzania 3 tu hatujua customer care sasa wewe endelea kuuliza vyeti na kuwatafuta waliopotea uone kama kuna maendeleo utakayoyapata, na serikali inajua kutuweka busy kila siku matukio, jamaa hana cheti sasa we endelea kusubiri cheti, hata angekuwa nacho kingekusaidia nini. Mbona umeisahau Congo wana madini ila hakukaliki na madini hayo inaelezwa yanauzwa nchi jirani?
kama kila mtu angewaza kama unavyowaza wewe basi dunia ingekuwa sehemu ya ajabu maana umethibitisha UBINAFSI,yani wewe ukipata chako wewe na familia yako baasi hujali wenye shida wengine,sio wote unaowaona wanapata shida ukajua umewazidi akili,maarifa au elimu.imagine mtu kama wewe ndio uwe mbunge wa wananchi!,si watakuwa wameula wa chuya!
 
Mimi siyo mwanaume, pili sijasoma kweli ila we uliyesoma unasema Kenya kuna ukabila nikuulize unajua maana ya "civil war" maana yake ke vita vya wenyewe kwa wenyewe chanzo chake siyo ukabila pekee, Lybia kulikuwa na ukabila? Na wenyewe si walitaka utawala wa haki sasa hivi kuna nchi inaitwa Lybia...Tanzania kipaumbele chetu ni amani nchi zingine wanatuita wajinga wajinga ni kweli lakini ndo wamejazana huku kwao hakukaliki wanakuja kuchukua kazi wakati sisi tunaulizia vyeti, mara sijui nani haonekani mara sijui duh nani aliyeturoga? sasa ni hivi huyu jamaa hana vyeti fanya unachotaka.
kwahiyo tusiulize kukiwa na tatizo?haki ya MUNGU nakuombea kama sio wewe mwenyewe basi ndugu yako wa damu yeyote awe baba yako ,mtoto wako nk ATEKWE hata kwa bahati mbaya apotelee huko.
 
Mimi siyo mwanaume, pili sijasoma kweli ila we uliyesoma unasema Kenya kuna ukabila nikuulize unajua maana ya "civil war" maana yake ke vita vya wenyewe kwa wenyewe chanzo chake siyo ukabila pekee, Lybia kulikuwa na ukabila? Na wenyewe si walitaka utawala wa haki sasa hivi kuna nchi inaitwa Lybia...Tanzania kipaumbele chetu ni amani nchi zingine wanatuita wajinga wajinga ni kweli lakini ndo wamejazana huku kwao hakukaliki wanakuja kuchukua kazi wakati sisi tunaulizia vyeti, mara sijui nani haonekani mara sijui duh nani aliyeturoga? sasa ni hivi huyu jamaa hana vyeti fanya unachotaka.
Civil war? Hii tabia ya kuwaua wezi kwa kuwachoma moto ni kwamba nchi hii iko vitani ni laana
 
nchi zote wanatushangaa tulivyo na rasilimali kibao lakini hakuna maendeleo,wenzetu wote waliotuzunguka wana matatizo kibao,uganda hakujatulia LRA wamesumbua sana kule,uganda border ya kaskazini imepakana na sudani na kongo huu ukanda haujatulia majeshi ya msituni yanarandaranda huko.kenya na alshabab,nchi border inapakana na somalia lakini wametupita kiuchumi,sisi huu ujinga wa kutishana na kuogopa watu ndio shida yetu,yani mawazo kama hayo uliyoandika ya kimsukule ndio tatizo letu kubwa lilipo.
Umeandika point kubwa sana
 
Back
Top Bottom