Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...
Tunamuombea.