Pre GE2025 Mungu akimshukia Rais Samia na kumuonesha hali itakavyokuwa muhula mwingine huenda ataghairi kugombea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,749
12,633
Screenshot_20250213_080520_Instagram.jpg

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
 
Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.

Mwenzetu umeonyeshwa nini??
Uzuri wa upinzani ngoma yao ya kitoto haikeshi
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Wachawi wote washakufa na wazuri hawafi nini tena cha kumtia hofu huyu form four failure aliyekuwa na ndoto za kuwa mgawa kashata kwenye ndege na sasa analindwa na majini.
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Huu ni uzi wa Tatu unao muonya.
Sijajua nyie wenye macho matatu mmeona nini hadi kusema hivi.
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Acha kukufuru, wewe kakushukia lini akakuonesha hali ya hiyo miaka 5 ya mbele?
Kama umeshaoneshwa tuambie hapa ujumbe utamfikia.
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Ni kweli
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa🥺🥺🥺
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Hafiki July huyu mjaa misifa
 

Mungu akimshukia Mama akamuonyesha 5 tena vile itakuwa ataomba kushuka.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kama Mungu anaweza mshukia Mama na kumuonyesha vile 5 tena itakuwa uwenda akaomba kushuka apumzike maana itakuwa moto sana kiasi atakiri mbele ya hadhira i wish ningejuwa...

Tunamuombea.
Uzuri Samia kawekwa na Mola na ndie atamlinda acha fitina zako
 
Huu ni uzi wa Tatu unao muonya.
Sijajua nyie wenye macho matatu mmeona nini hadi kusema hivi.
Achana na huyo mpiga Ramli aliyejaa chuki binafsi ,ukabila na ubaguzi. Huyo ni wa kupuuzwa tu maana inanyesha ana matatizo kichwani wake. Umesahau awamu ya Tano alikuwa anatishia watu kuwaua humu jukwaani? Umesahau kuwa mtoa mada ndiye alimtishia Maisha Ben Saa Nane? Sasa Ben yupo wapi? Huoni kuwa mleta mada anajua alikompeleka?

Huyu mleta mada ni shetani tu mwenye roho ya kishetani na ndio maana watu wanaomjua humu jukwaani wanampuuza sana na kumdharau kwa sababu wanajua hana uzalendo wowote zaidi ya chuki binafsi na kwamba mikono yake imejaa Damu tu.

Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na ataendelea kuongoza Taifa letu hadi 2030.
 
Back
Top Bottom