Mume wangu hajishughulishi na familia, namfanyia kila kitu, nimechoka

Mkuu nionacho hapa ni mumeo anatoka sadaka nyingi ili kusindikiza maombi anayoomba ubadilike acha dharau kumuita mumeo mkeo ni dharau kisa hatoi matumizi? Ebu kaa na mumeo mtengeneze
 
Mkuu nionacho hapa ni mumeo anatoka sadaka nyingi ili kusindikiza maombi anayoomba ubadilike acha dharau kumuita mumeo mkeo ni dharau kisa hatoi matumizi? Ebu kaa na mumeo mtengeneze
Tutengeneze nn Sasa wakati hataki, haelewi Asa kama amekubali nimtunze niwatunze na wazazi wake kwann nisimwite mke wangu japo yeye siwezi kumwita namwita hapa tu, juzi Kati Xmas nilimtumia mama yake hela alichukia Sana akasema kwann sikumpa mchungaji mmoja hivi simtaji jina
 
Nilisha wahi kuongea na mchungaji mmoja ambae ni rafiki yake lkn pia anahekima Sana wa madhehebu ya kipentekoste maana jamaa ni mlokole, lkn alipomwita kumshauri aliporudi nyumbani alinitukana Sana eti natoa siri za ndani
naweza kukusaidia hapo kwenye tendo la ndoa
 
Dada Yangu pole sana kwa hayo unayoyapitia , binafsi nimeumia sana.
Sijajua dini yako husika rasmi naamini we ni mkristo wa dini kati ya Rc au Anglican.pia naamini mlifunga ndoa rasimi kulingana na maelezo yako sasa ningekushauri anza na wasimamizi wenu wa ndoa , ikishindikana hapo mfuate mchungaji au padri mtashauriwa .
Inaonyesha jamaa anaweka mkazo kwenye mambo ya kiroho zaidi na majitoleo huku anasahau kuwa kanisa linatufundisha mafundisho ya kuishi kiroho na kimwili kama binadamu.
Mwenyezi Mungu amsamehe bure huenda hajijuii
 
Naomba msaada wanaume na kama nakosea mnisamehe, mimi ni mwanamke nimeolewa ila mume wangu ni kama mke wangu yani mimi ni mume wake, amekuwa na tabia hizi hajishughulishi na Familia yake yani mke na watoto hivo namlisha namvika nakafanyia kila kitu na nisipofanya kana mdomo hako katanitukana kweli Kwasababu amenifanya kuwa mme wake hawezi kunipiga analalamika hadi analia, yeye anafanya kazi anapata hela ila akipata hela anazitoa zote kanisani sadaka, Hana Muda hata na tendo la ndoa analala anaomba sebuleni usiku kucha anaomba utajiri wakati huo mungu akimbariki kampa kitu anaenda kutoa vyote kanisani ananitegemea mimi kwa kila kitu kula, kujenga, kusomesha, majukum yote ya ndani kinachoniumiza mimi hela anapata, akipata anagawa zote amekuwa na utaratibu wa kutembea Hana hata senti tano mifukoni yani akikapata akakimbia mbio akaitoe akisha itoa ndo anatulia Hali hiyo imenifanya nimuone ni mke wangu na sio mme wangu, binafsi tangu amenioa mwaka wa 5 amewahi kunipa matumizi mara 2. Nimechoka Sana na Hali hii sisi ni wa kristo sio vizuri kuachana tutamkosea mungu ila natamani nijiachie na kibuzi naogopa kumkosea mungu naombeni mnishauri jamani niko hoi
Mambo,,pole sana usjari,,,ila nipo tayar kuwa nawe tuchepuke nipo tayar kukuridhisha ktk tendo la ndoa sitak kitu chochote kutoka kwako zaid kukuridhisha na kutia stress
 
Walokole wenye imani kali huwa wanazingua sana, hasa linapokuja swala la fungu la kumi. Hebu jaribu kuwatafuta wasimamizi wenu wa ndoa na wazazi wenu,mkae nae mjadili ili swala kwa pamoja.

But nahisi yawezekana akawa mlokole lakini anamapepo yanamuendesha.
 
Hauna mime Bali una mfano wa mume.cha msingi n kutafuta wazee na yeye na kufanya hard talk..apo ndio pakuanzia kufanya finalization/maamuzi magumu.
 
Nilisha wahi kufanya hivyo akanambia nenda, nakuna kipindi nilijiunga kwa siza mtoto akafa hakukaa Nami alienda kulala kanisani lkn pia tukikosana ananiambia umesahau ulivyolia kipindi kile Ntakwambia mungu akupige Tena ulie hadi usije kusahau ktk maisha yako



Hizi ndoa mitihani sana aiseee bora kupiga jaramba ukiona timu imepigwa mbili unagoma kuingia uwanjani....dada hebu chukua watoto nenda nyumbani kapumzika sawa sisi wakristo tunasema hakuna kuachana mpaka kufa mimi nakataa matatizo yakizid kukimbia nayo siraha tosha ata Mungu anakuona unateseka....Hebu achana na mfia dini huyo
 
Dada Yangu pole sana kwa hayo unayoyapitia , binafsi nimeumia sana.
Sijajua dini yako husika rasmi naamini we ni mkristo wa dini kati ya Rc au Anglican.pia naamini mlifunga ndoa rasimi kulingana na maelezo yako sasa ningekushauri anza na wasimamizi wenu wa ndoa , ikishindikana hapo mfuate mchungaji au padri mtashauriwa .
Inaonyesha jamaa anaweka mkazo kwenye mambo ya kiroho zaidi na majitoleo huku anasahau kuwa kanisa linatufundisha mafundisho ya kuishi kiroho na kimwili kama binadamu.
Mwenyezi Mungu amsamehe bure huenda hajijuii



Mkuu hiyo ya kumfata padri baba yangu mdogo alikuwa anamatatizo makubwa na mkewe kaenda kwa padri mara ya kwanza wakapatanishwa akarudia wakaenda tena hivyo hivyo kunichofata akampiga chini mkewe...huko suruhu ni kupatanishwa na kama alivyosema wakirud ndani anamtukana bora akimbie tu
 
Naomba msaada wanaume na kama nakosea mnisamehe, mimi ni mwanamke nimeolewa ila mume wangu ni kama mke wangu yani mimi ni mume wake, amekuwa na tabia hizi hajishughulishi na Familia yake yani mke na watoto hivo namlisha namvika nakafanyia kila kitu na nisipofanya kana mdomo hako katanitukana kweli Kwasababu amenifanya kuwa mme wake hawezi kunipiga analalamika hadi analia, yeye anafanya kazi anapata hela ila akipata hela anazitoa zote kanisani sadaka, Hana Muda hata na tendo la ndoa analala anaomba sebuleni usiku kucha anaomba utajiri wakati huo mungu akimbariki kampa kitu anaenda kutoa vyote kanisani ananitegemea mimi kwa kila kitu kula, kujenga, kusomesha, majukum yote ya ndani kinachoniumiza mimi hela anapata, akipata anagawa zote amekuwa na utaratibu wa kutembea Hana hata senti tano mifukoni yani akikapata akakimbia mbio akaitoe akisha itoa ndo anatulia Hali hiyo imenifanya nimuone ni mke wangu na sio mme wangu, binafsi tangu amenioa mwaka wa 5 amewahi kunipa matumizi mara 2. Nimechoka Sana na Hali hii sisi ni wa kristo sio vizuri kuachana tutamkosea mungu ila natamani nijiachie na kibuzi naogopa kumkosea mungu naombeni mnishauri jamani niko hoi
Mpeleke Mirembe
 
Back
Top Bottom