Muhas Hiyoo, Nasubiria tuu jina langu hapa

Ha ha ha ngoja kidume nisubilie jina langu chuo cha Muhas chuo kinachoeleweka TZ sio vyuo uchwara , kama bugando na KCMC

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio vichwa maji kabisa, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
Ila kama unaenda kusoma MD kauli zako zpo ovyo mm nmesoma Muhas ila ila intern nikapga BMC (bugando) ni bonge la chuo na wanatoa madaktari wazuri sana.
 
Ha ha ha ngoja kidume nisubilie jina langu chuo cha Muhas chuo kinachoeleweka TZ sio vyuo uchwara , kama bugando na KCMC

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio vichwa maji kabisa, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
Hiki kiburi,ningekuwa na umri mdogo halafu nimeenda diploma kwa kutoka shule za kata,kilikuwa sababu tosha ya kunifanya nikutafute na kukuonyesha kuwa nimekasirishwa mno.
 
Yan inasikitisha sana Mkuu kwel huyu ndio akawe doctor.
Kuna haja ya kuongezea njia nyengne ya kuwatambua watakaoenda kusomea udaktar ukiachana na ufaulu tu
Yeah,kuna haja ya kuwachekecha watu kama hawa......eti ye anaona walopata marks za chini wakapelekwa diploma hawana akili tena kawaita Vilaz.a na hata Chuo kama Bugando na KCMC ni hovyo tu......ye anadhani chuo ndio kitamfaulisha au hata akienda kazini chuo ndo kitamfanyia kazi na wengine hawatoweza kufanya kazi

Kuna watu wamesoma diploma tu kwenye vyuo kama DIT wako na uwezo mkubwa sana kuliko hata aliyesoma pale COET, ye hawezi jua haya
Tumtakie tu kila la heri na masomo mema!!
 

Attachments

  • idiot 56.png
    idiot 56.png
    8.6 KB · Views: 44
Ha ha ha ngoja nisubirie jina langu chuo cha MUHAS chuo kinachoeleweka Tz.

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
Rekebisha uandishi wako
 
weweeeeeeee.

tuliza mkojo hapo , na utaweweseka sana.

baada ya necta kukutia nakoz za uso akili ikakuruka, NA BADO.

By the way umefikia wapi kwenye mchakato wako wa kuappeal kusahihishiwa upya mitihani yako??

utanyooka tu.

RUDI QT.
 
akili yako haitofautiana na ya yule profesa anayegombea ofisi;
kafanye ujasiriamali usipoteze pesa za umma.
 
Shyeeeh...!!! kumbe hata haujachaguliwa bado unatupigia kelele hivyo humu...Nyau We!
Je ukianza Anatomy modules itakuaje?

Lazima utakuwa na Enterobius wanakusababishia pruritus ani...Si bure.
 
Shyeeeh...!!! kumbe hata haujachaguliwa bado unatupigia kelele hivyo humu...Nyau We!
Je ukianza Anatomy modules itakuaje?

Lazima utakuwa na Enterobius wanakusababishia pruritus ani...Si bure.
mkuu , huyo hachaguliwi popote wala hafurukuti kwenda popote.

it is the last kicks of a dying horse.

fuatilia uzi wake wa kutaka ku appeal kusahihishiwa upya mitihani yake ya necta baada ya kufeli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom