Muhas Hiyoo, Nasubiria tuu jina langu hapa

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
20,082
26,124
Ha ha ha ngoja nisubirie jina langu chuo cha MUHAS chuo kinachoeleweka Tz.

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
 
Ha ha ha ngoja nisubirie jina langu chuo cha MUHAS chuo kinachoeleweka Tz.

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
..nashangaa umefaulu vipi unajua maana unaongea Pumba nzitoo
 
Ha ha ha ngoja nisubirie jina langu chuo cha MUHAS chuo kinachoeleweka Tz.

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
Utakutana na wenzako Kwenye maisha watakutia adabu'unadhani mafanikio ni lipitia elimu pekee?? Ukikua utaelewa
 
Ha ha ha ngoja nisubirie jina langu chuo cha MUHAS chuo kinachoeleweka Tz.

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
ACHA KUTUKANA MAMBA HUJAVUKA MTO
 
Ha ha ha ngoja nisubirie jina langu chuo cha MUHAS chuo kinachoeleweka Tz.

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
Wenzio weng walikua na mbwembwe kama zako mwisho wa cku wameambulia discontinue
 
Tulishamaliza Kusoma Enzi hizo Kijana,Naona unaweweseka sana embu tuliza Wahaka usije onekana Majinuni,Nakushauri sana kama kweli umepata nafasi hiyo ukasome haswa,maana ukiendeleza tabia kama hii uionyeshayo hapa Mwakani utakuwa nyumbani!
 
Usitukane mamba kabla hujavuka mto wewe kijana. ndio kwanza unaingia shangaa usijedisco makelele na makeke yakaishia hapo. ukaanza kutafuta tena hiyo diploma mwakani.
Sijawahi feli tokea nizaliwe na sitakuja kufeli mpaka naingia kaburini
 
Ha ha ha ngoja nisubirie jina langu chuo cha MUHAS chuo kinachoeleweka Tz.

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
Ahahaaaaaaaaah...
Hii ndio JF Bwana...
Ila kijana jiandae uzuri, maana chuo kikuu mambo huwa yanabadirika sana..!
 
Huenda na wewe huko nyumbani na mtaani kwenu wanakuona nawe msomi!!!
Eti unaenda kusoma degreee!!??

Ndo maana sisi ni nchi dunia ya tatu aisee,kama hawa hawa ndo aina ya wasoma tulionao!!
Ha ha ha ngoja kidume nisubilie jina langu chuo cha Muhas chuo kinachoeleweka TZ sio vyuo uchwara , kama bugando na KCMC

Wengine wanasubiri second selection ila bora hawa kuliko wanaosubiri diploma hawa ndio vichwa maji kabisa, tuliwashauri wasome wakawa wabishi na kuwa discus mademu haya sasa wamelamba sakafu wanasubiri huruma ya TCU
 
index.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom