kiroboto21
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 887
- 325
Salah Abdeslam, yule mtuhumiwa mkuu wa Pariss attack amekamatwa jijini Brusseles Ubelgiji.
Amekuwa akitafutwa tokea mwezi November, 2015.
Salah Abdeslam, yule mtuhumiwa mkuu wa Pariss attack amekamatwa jijini Brusseles Ubelgiji.
Amekuwa akitafutwa tokea mwezi November, 2015.
Apelekwe North Korea kweye concentration camp. Atajuta kutumia vibaya jina la Mungu kwa kuua watu wasio na hatia.Huyu mtu kama mkiulizwa adhabu yake mtasema nini??
Miaka mitano na kazi ngumu.Huyu mtu kama mkiulizwa adhabu yake mtasema nini??