Even salt1. Mshana JR
2. Bujibuji
3. Gentamycine
4. Alietoaga post inahusu kwa nini walimu wanavaa malonyalonya au oversize na ata akishona nguo mishono inakuwa ya kizamani Mfano. mishono ya Yondo Sister (jina nimemsahau) kiukweli japo siwajui ila natamani sanaaaaaaaaaaaa nionane nao.
I and myself Numbisa
Mshana junior namkubali sana huyu jamaa ila siku nikonana nae asije na matunguli yake
mkuu umeniwahi heheMimi napenda kukutana na Bibi kifimbo cheza(Faiza foxy)
heheheheheMimi napenda kumfahamu huyu jamaa anaitwa MOTOCHINI, mambo yake ya kizeekizeee
mimi natamani kukutana na Numbisa tukeshe tukiongea mambo ya the need!