PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,142
Hata asingekufa,bado yale ni mateso tu. Kusukwa siku mbili ili iweje sasa! Na kwa asili watoto wote ni wazuri tu wanachohitaji ni usafi tu,siyo mitindo.

Hata asingekufa,bado yale ni mateso tu. Kusukwa siku mbili ili iweje sasa! Na kwa asili watoto wote ni wazuri tu wanachohitaji ni usafi tu,siyo mitindo.
Mkuu anaweza kabisa,zinauma mno! Na usikute ni kana sikoseli yake,kwa nini kasiingie kwenye crisis.Shukran kwa kushare habr,japo huwez kufa kwa kusukwa nywele labda km mtoto alikuwa na maradhi mengine...
nimecheka sanaMkuu umesahau paukwa pakawa na sungura aliyekuwa anachafua kisima cha maji akakatwa mkia na kobe, ndio maana mpaka leo sungura anamkia mfupi?
umeona ehhhMkuu umesahau paukwa pakawa na sungura aliyekuwa anachafua kisima cha maji akakatwa mkia na kobe, ndio maana mpaka leo sungura anamkia mfupi?
Ata kama ni habari ya uongo ujumbe ushafika!!! Kuna wazazi wanawafanya hivi kweli watoto waoHabari ya uwongo na iko kwa ajili ya mazuzu.
Jina LA mama ni nani?
Jina LA mtoto ni nani?
Jna LA msusi na saluni
Jina LA hospital aliko pelekwa mtoto
Jina LA daktari aliyempokea mtoto
Jina LA daktari aliye thibitisha kifo
Chanzo cha taarifa yako.
Ningeshangaa sana kama watu kama nyie mngekosekanaHabari ya uwongo na iko kwa ajili ya mazuzu.
Jina LA mama ni nani?
Jina LA mtoto ni nani?
Jna LA msusi na saluni
Jina LA hospital aliko pelekwa mtoto
Jina LA daktari aliyempokea mtoto
Jina LA daktari aliye thibitisha kifo
Chanzo cha taarifa yako.
Duh pole yake aisee.TAFADHALI SHARE UJUMBE HUU WA KUSIKITISHA ILI KINA MAMA WOTE WAUSOME NA KUBADILIKA.
Leo tarehe 27-04-2017 kuna dada amefiwa na mwanae wa miaka miwili aliyekuwa amelazwa hospitali kuanzia siku ya Ijumaa Kuu. Hapa Jijini Dar es Salaam.
Chanzo cha kifo cha mtoto huyu ni kutokana na mama yake kumsuka nywele mtindo wa DREAD ambapo nywele zinasukwa kwa kusokotwa sana.
Mtoto alisukwa siku ya kwanza lakini hakumalizwa. Siku ya pili Alhamisi akamaliziwa kusukwa. Siku ya Ijumaa ambayo ndo ilikuwa Ijumaa Kuu mtoto alianza kuumwa mwili mzima.
Walipoona anazidi kuumwa wao wakahisi nywele walivyombana itakuwa chanzo wakaanza kumnyoa haraka. Lakini wakiwa wanaendelea kumyoa hali ikazidi kuwa mbaya wakampeleka hospitali hivyohivyo bila kummalizia kumnyoa.
Walipofika hospitali daktari aliwagombeza sana kwa kumsuka mtoto kwa kumvuta kiasi hicho nywele zake. Alianza matibabu na walimalizia kumnyoa nywele.
Hali iliendelea kuwa mbaya akawekewa mashine ya kumsaidia kupumua. Bahati mbaya mchana wa leo mtoto kafariki.
Chanzo cha kifo kinasemekana misuli ya kichwa ilivutika kwa kiwango kikubwa ikapelekea matatizo mengine yaliyosababisha kifo.
FUNZO: Kina mama acheni kuwafanyia watoto wenu mambo ya watu wazima. Waacheni watayafanya wao kwa muda wao. Waacheni waishi maisha ya kitoto. Madai yenu ya kwenda na wakati ndo matokeo yake haya.
MUNGU ATUSAIDIE.
Habari ya uwongo na iko kwa ajili ya mazuzu.
Jina LA mama ni nani?
Jina LA mtoto ni nani?
Jna LA msusi na saluni
Jina LA hospital aliko pelekwa mtoto
Jina LA daktari aliyempokea mtoto
Jina LA daktari aliye thibitisha kifo
Chanzo cha taarifa yako.
sina sababu ya kuwaongopea watuKama wewe unavyoongopea watu kuwa ni engineer