Mtazamo wangu kuhusu ushiriki wa Yanga kwenye Mapinduzi mpaka hapo ilipoishia

“Sizitaki mbichi hizi” Sungura akagumia,
“Naona nafanya kazi, bila faida kujua”,
Yakamtoka machozi matunda akalilia,

Matunda akalilia, Sungura nakuambia.


Sio kama hakutaka, sasa nakupasulia,
Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia
Tunajua hakufika, alichoka kurukia,
Alichoka kurukia, Sungura nakuambia.


Hadithi nimemaliza, nimekwisha simulia,
Jambo moja sikiliza, rafiki yangu sikta,
Usikose kujikaza, mazuri kukazania,
Utamshinda Sungura, utapata mbivu hizi.
Asante sana
 
Hamna lolote.Si ndio hao hao walioanzisha mada kuhusu udhaifu wa Simba na kiwango kushuka. Leo baada ya kupandishwa boti mapema wanaanza visingizio vya kitoto vya mazoezi eti bonanza kwani wamejua na akili kuwarudia baada ya kutolewa?Walienda Zanzibar kufanya nini?Kutalii?Walipomfunga Zimamoto mbona ngonjera hizi hazikuwepo?
 
Siku zote mtu akiona kala kichapo na watu wameshuhudia kuwa kapigwa ili kuzuia aibu ataanza kuongea pekeyake ili tu aulizwe apate kujieleza na kutoa sababu tofauti na zilizomfanya adundwe.. Simba iliposhinda goli 2 kwa 1 na kisha 1 kwa 0 mliongea sana kuwa mnabeba kombe hakuna wa kuwazuia leo mmekula za uso mnajidai hamuoni faida...... Naomba niwaambie hivi simba hatushangilii kufika fainal ila tunashangilia kuwashikisha adabu yanga na kushiriki mashindano hadi siku ya mwisho mkomeeeeeee
 
Back
Top Bottom