Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 9,002
- 6,957
Unalozungumzia ni historical. Zanzibar ni nchi ya wahamiaji lakini baada ya Muungano, watanganyika waliohamia waliwekewa vizuizi katika kutambuliwa kama wazanzibari na hivyo kunyimwa baadhi ya haki za uraia ( kumiliki ardhi ikiwa mojawapo)ambao raia wa Zanzibar walikuwa nazo. Kuna wakati hata kuoa binti wa kizanzibari ilikuwa shida. Hata katika ajira mtanganyika anahesabiwa kama mgeni.Umeenda Zanzibar au hadith tu za simulizi. Mbona wapo Wabara wengi wanaishi na wamewekeza Zanzibar. Wapo Wangazija, wahindi, Wachina, Wazungu wewe unabakia kulia tu. Hizi Siasa za kutafuta mchawi zinawapotosha sana, nenda kawekeze Zanzibar na utaishi kama Mzanzibar. Nina jamaa zangu wanaishi Zanzibar na sijasikia wakilalamika.
Amandla...