Mtandao wa Quora unawezekana ukawa sababu ya wakristo wengi wa Ulaya kusilimu na kuwa Waislamu

Kulupango

JF-Expert Member
Mar 19, 2020
288
535
Ikiwa imeshapita mwaka mmoja sasa tangu Kanisa kubwa la Byzantine empire liitwalo HAGIA SOPHIA kubadili muelekeo na kuwa Msikiti huko Instanbul, Quora inawezekana ikawa ni mtandao unao tegemewa sana katika harakati za kiimani,

Quora ni tovuti ya kijamii ya maswali na majibu iliyopo Mountain View, California. Ilianzishwa miaka ya 2010. Watumiaji wa mtandao huu wanaweza kushirikiana kwa kuhariri maswali na kutoa maoni kuhusu majibu ambayo yamewasilishwa na watumiaji wengine. Waislamu wa magharibi wametumia mtandao huu kuusambaza sana uislamu kwa kutoa majibu yanayo kinahisha nafsi za wengi.

Miongoni mwa maswali na majibu kutoka Quora.

SWALI

Je, ni sababu gani ya kawaida inayopeleka Wakristo wengi kubadili dini na kuwa waislamu kutoka Ukristo?

MAJIBU NI KWAMBA

-Uislamu unajibu maswali yote kwa uwazi, kila kitu katika uislamu kina sababu ya kimantiki.
  • Uislamu unajibu maswali yote kuhusu yanayoonekana na yasiyoonekana.
  • Qur'an haina ukinzani hata mmoja, tofauti na maandiko mengine.
  • Kutamalaki kwa amani, utulivu na furaha ya ndani.
  • Haki : utawajibika kwa dhambi zako mwenyewe, hakuna mtu anayeweza kuhesabiwa kwa dhambi za mwingine.
  • Madhambi yote yamesamehewa, isipokuwa shirki. Anayesamehe dhambi ni MUNGU na wala sio nabii wala Mwanaadamu
  • Hulinda wanawake na kuwaunga mkono na kuwanyanyua na kuwaheshimisha
  • Katika uislamu Amri zote za Mwenyezi Mungu, ni kwa manufaa ya mwanadamu.
  • Muumba, ni wa kipekee, anajitosheleza, ni mmoja na mkamilifu, Hana sifa za kiume wala za kike, hakuzaa wala hakuzaliwa, hana mfano na kitu chochote kile.
  • Katika uislamu Hakuna wapatanishi au watangulizi, kati yako na Muumba wako, wakati wowote unapomhitaji Muumba wako, unaweza kuwasiliana Naye, Tofauti na dini zingine hadi ukaungame.

Nadhani haya ni baadhi ya mambo makuu, yaliyoathiri kusilimu kwa wazungu wengi kuacha ukristo na kuingia uislamu.

1652909565126.png
 
Nasikitika sana, una uwezo mdogo sana wa kuelewa, hayo majibu hayatishelezi mtu kubadili dini kaka, zipo sababu mbali mbali za binadamu kubadili dini moja kwenda nyingine, ila usilojua ni kwamba wahamiaji wengi wa ulaya ni kutoka nchi zenye asili ya kiarabu ambao ndo wanaongeza population siku hadi siku ilhali wazawaza wana kasi ndogo ya kuongezeka, na ndio mana leo Ufaransa, ujeruman na nchi nyingine idadi ya watu inqongezwa na wahamiaji ambao wengi ni waislam.
 
Nasikitika sana, una uwezo mdogo sana wa kuelewa, hayo majibu hayatishelezi mtu kubadili dini kaka, zipo sababu mbali mbali za binadamu kubadili dini moja kwenda nyingine, ila usilojua ni kwamba wahamiaji wengi wa ulaya ni kutoka nchi zenye asili ya kiarabu ambao ndo wanaongeza population siku hadi siku ilhali wazawaza wana kasi ndogo ya kuongezeka, na ndio mana leo Ufaransa, ujeruman na nchi nyingine idadi ya watu inqongezwa na wahamiaji ambao wengi ni waislam.
Kaa tu usuniri mwisho utakuja kushituka
 
Ningekuelewa ungesema Elimu imechangia kuenea kwa Uislam Ulaya. Kazi nyingi za ujuzi kuanzia Udaktari, Uhandisi na IT zimeshikiliwa na wahamiaji kutoka Egypt, Syria, Iran na hata Pakistani.

Hawa wanalipwa mishahara kutokana na ujuzi wao na ni washika dini haswa. Wakiamua kuweka 10% ya mshahara mwaka mmoja tu katika unoja wao wamenunua jengo lolote na kuligeuza msikiti.
 
Nasikitika sana, una uwezo mdogo sana wa kuelewa, hayo majibu hayatishelezi mtu kubadili dini kaka, zipo sababu mbali mbali za binadamu kubadili dini moja kwenda nyingine, ila usilojua ni kwamba wahamiaji wengi wa ulaya ni kutoka nchi zenye asili ya kiarabu ambao ndo wanaongeza population siku hadi siku ilhali wazawaza wana kasi ndogo ya kuongezeka, na ndio mana leo Ufaransa, ujeruman na nchi nyingine idadi ya watu inqongezwa na wahamiaji ambao wengi ni waislam.
Nchi nyimgine zimepiga marufuku wahamiaji kutoka nchi Africa kaskazini na Uarabuni. Mfano Italy imepiga marufuku kabisa wahamiaji waislam na Polisi wamepewa ruhusa ya kuzizamisha boti zao. Sababu ikiwa moja tu, Wakati Serikali ikiwasaidia kuwapa hifadhi wao wanawaza kueneza Uislamu.

Uingereza imebadili sheria kwa sasa wanahifadhiwa Rwanda.
 
Kimsingi imani nyingi zilizoanzishwa na wanadamu hapa duniani ziko straight and systematic. Zimetengenezwa kwa logic katika kujaribu kujibu maswali magumu kama chanzo cha uhai, kusudi la uhai, changamoto za hapa duniani na kinachotokea baada ya kifo. etc

Ni imani ya ukristo tu ambayo imejibu haya maswali katika namna ambayo inaushibisha mwili, nafsi na roho. Kila wakati watu wa imani zote wanapoletewa mafundisho ya ufalme wa mbinguni wanajua ndani ya nafsi zao kwamba ni kweli yenye uzima wa milele hata kama hawana uthibitisho wa kimazingira.

Baada ya hapo unabaki uamuzi wa mtu mwenyewe, afuate sauti ya Mungu katika roho yake au sauti ya logic katika akili yake. Lakini siku moja inakuja, asubuhi iliyo njema, mwokozi ataonekana katika anga na kuwachukua wale waliomwamini yeye. Ni heri leo ukiisikia sauti yake usiufanye moyo wako kuwa mgumu.
 
Nchi nyimgine zimepiga marufuku wahamiaji kutoka nchi Africa kaskazini na Uarabuni. Mfano Italy imepiga marufuku kabisa wahamiaji waislam na Polisi wamepewa ruhusa ya kuzizamisha boti zao. Sababu ikiwa moja tu, Wakati Serikali ikiwasaidia kuwapa hifadhi wao wanawaza kueneza Uislamu.

Uingereza imebadili sheria kwa sasa wanahifadhiwa Rwanda.

Mnasomaga stori za miaka kadhaa iliyopita, na kuja kujibu kwa kujiamini..
hizo habari zililetwa na waziri mpuuzi fulani wa Italy na sasa ana kesi ya kujibu mahakamani...

 
Ikiwa imeshapita mwaka mmoja sasa tangu Kanisa kubwa la Byzantine empire liitwalo HAGIA SOPHIA kubadili muelekeo na kuwa Msikiti huko Instanbul, Quora inawezekana ikawa ni mtandao unao tegemewa sana katika harakati za kiimani,

Quora ni tovuti ya kijamii ya maswali na majibu iliyopo Mountain View, California. Ilianzishwa miaka ya 2010. Watumiaji wa mtandao huu wanaweza kushirikiana kwa kuhariri maswali na kutoa maoni kuhusu majibu ambayo yamewasilishwa na watumiaji wengine. Waislamu wa magharibi wametumia mtandao huu kuusambaza sana uislamu kwa kutoa majibu yanayo kinahisha nafsi za wengi.

Miongoni mwa maswali na majibu kutoka Quora.

SWALI

Je, ni sababu gani ya kawaida inayopeleka Wakristo wengi kubadili dini na kuwa waislamu kutoka Ukristo?

MAJIBU NI KWAMBA

-Uislamu unajibu maswali yote kwa uwazi, kila kitu katika uislamu kina sababu ya kimantiki.
  • Uislamu unajibu maswali yote kuhusu yanayoonekana na yasiyoonekana.
  • Qur'an haina ukinzani hata mmoja, tofauti na maandiko mengine.
  • Kutamalaki kwa amani, utulivu na furaha ya ndani.
  • Haki : utawajibika kwa dhambi zako mwenyewe, hakuna mtu anayeweza kuhesabiwa kwa dhambi za mwingine.
  • Madhambi yote yamesamehewa, isipokuwa shirki. Anayesamehe dhambi ni MUNGU na wala sio nabii wala Mwanaadamu
  • Hulinda wanawake na kuwaunga mkono na kuwanyanyua na kuwaheshimisha
  • Katika uislamu Amri zote za Mwenyezi Mungu, ni kwa manufaa ya mwanadamu.
  • Muumba, ni wa kipekee, anajitosheleza, ni mmoja na mkamilifu, Hana sifa za kiume wala za kike, hakuzaa wala hakuzaliwa, hana mfano na kitu chochote kile.
  • Katika uislamu Hakuna wapatanishi au watangulizi, kati yako na Muumba wako, wakati wowote unapomhitaji Muumba wako, unaweza kuwasiliana Naye, Tofauti na dini zingine hadi ukaungame.

Nadhani haya ni baadhi ya mambo makuu, yaliyoathiri kusilimu kwa wazungu wengi kuacha ukristo na kuingia uislamu.

View attachment 2230031
Acheni kwenda madrasa mnafundishana ujinga hebu soma majibu ya google

Kwa nn waislam mnajitekenya na kucheka wenyewe
Screenshot_20220519-010344_Chrome.jpg
 
Mnasomaga stori za miaka kadhaa iliyopita, na kuja kujibu kwa kujiamini..
hizo habari zililetwa na waziri mpuuzi fulani wa Italy na sasa ana kesi ya kujibu mahakamani...

Sipo tayari kupoteza muda kubishana na wewe, mimi nimeleta taarifa iliyohakikiwa nimemaliza. Kama unazani ni utani watume ndugu zako waislam waende Italy kama wahamiaji watakupa mrejesho kamili.
 
Nasikitika sana, una uwezo mdogo sana wa kuelewa, hayo majibu hayatishelezi mtu kubadili dini kaka, zipo sababu mbali mbali za binadamu kubadili dini moja kwenda nyingine, ila usilojua ni kwamba wahamiaji wengi wa ulaya ni kutoka nchi zenye asili ya kiarabu ambao ndo wanaongeza population siku hadi siku ilhali wazawaza wana kasi ndogo ya kuongezeka, na ndio mana leo Ufaransa, ujeruman na nchi nyingine idadi ya watu inqongezwa na wahamiaji ambao wengi ni waislam.
Sasa wewe ndiyo umedhihirisha ya kuwa hujaelewa na una ufahamu mdogo sana juu ya hicho alichokiandika. Nukta zote alizo ziandika zinamshawishi yeyote mwenye akili timamu na kufikiria mambo katika upana wake na kungia katika Uislamu. Mfano
Haki : utawajibika kwa dhambi zako mwenyewe, hakuna mtu anayeweza kuhesabiwa kwa dhambi za mwingine

Hivi inaingiaje akilini kwamba mtu aadhibiwe kwa makosa ya mwingine ? Yaani kila mtu atabeba mzigo wake. Hili akili inakubali.

Naomba unitajie sababu mbili tu ambazo zina mashiko ukiondoa hizo alizo toa mtoa mada, ambazo humfanya mtu abadili dini ?
 
Usiwe na wasiwasi kaka huo mtandao haushawishi chochote sema pia uhuru wa kuabudu umeongezeka sana. Waislam walikuwepo lakn hawakua na nafasi huru ya kuabudu kama nyakati hizi
Sasa haushawishi vipi wakati watu wanashawishika na kuchukua hatua ? Jaribu kutulia uje na hoja na ithibati za kutilia nguvu maoni yako.
 
Wazungu wengi sana ni wajinga kiakili tofauti na baadhi yao wachache ambao tunawaona wakisifika kufanya mambo yenye kuleta mabadiliko na maendeleo.

Hao wengine waliobaki wakipata Mtu yeyote mwenye uwezo mzuri wa kuwashawishi hata Mavi wanaweza kula.

Bara zima la Europe sasahivi hii ni Agenda muhimu kwao na wanaijadili na kuishughulikia kimyakimya.
 
Acheni kwenda madrasa mnafundishana ujinga hebu soma majibu ya google

Kwa nn waislam mnajitekenya na kucheka wenyewe View attachment 2230038
Ila kijana una akili ndogo sana, kwa akili yako wenye zao unafikiri watakwambia kweli kwamba watu wanaingia katika Uislamu kwa kuujua ukweli ? Huoni kama watakuwa wanauweka rehani Ukristo wao au Uyahudi wao au Ubudha wao au Uhindu wao ?

Kuna muda mnatakiwa muwe mnahoni kikubwa na kuangalia uhalisia.
 
Mwanzoni Wakati naona nyuzi za namna hizi nilipotezea tu ila sasa mnakela muno. Kila sehemu mumekazana na nadharia hii ambayo hata kwa 20% haijafikia.

Alafu siku hizi nyuzi za hivi JF ndiyo zimetamalaki. Hakuna Mkristo anayeweza kubadili dini kwa ushawishi wa hivi.
Sasa hao wanaobadili siyo Wakristo ? Unakataa nadharia huku unaipigia upatu nadharia ? Inakuwaje hata hukielewi ulichokiandika hata ukipewa miaka na mikaka hutaweza kukitetea.
 
Back
Top Bottom