Mtandao wa airtel ndio unaongoza kwa kutumiwa na matapeli wa mtandaoni

MPIGIE MZEE SAID MTAALAM WA TIBA ASILI. MALI. PETE. NYOTA. UZAZI. KUPANDISHWA CHEO KAZINI. KULUDISHA MALI ILIYOPOTEA. NAMBA 0719914240
 
Kuna mtu leo anasema amekatwa kama elfu nne hivi kwenye Mpesa yake na hajui Kwan kakatwa.

Hapa najaribu kuuliza Salio kwenye Mpesa app naona inagoma kabisa
 
Hatar sana
 

Attachments

  • Screenshot_20240620-172114.png
    Screenshot_20240620-172114.png
    41.6 KB · Views: 4
Kama hivyo
 

Attachments

  • Screenshot_20240620-172007.png
    Screenshot_20240620-172007.png
    61.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240620-171934.png
    Screenshot_20240620-171934.png
    55.7 KB · Views: 4
Kuna mtu leo anasema amekatwa kama elfu nne hivi kwenye Mpesa yake na hajui Kwan kakatwa.

Hapa najaribu kuuliza Salio kwenye Mpesa app naona inagoma kabisa
Hizo line za voda ambazo watu wanakatwa hela zinaanza code gani

076.....
075.....
074....
 
Unaijua TTCL wewe?
Airtel unawaonea kuwapa cheo hiko

Watu mpaka ndugu zetu kabisa wakituma sms unakuwa huamini amini kisa tu namba ya ttcl
 
Pasipo kupepesa macho, airtel ni moja ya mtandao ambao matapeli kila itwayo leo huutumia kutuma sms za kila aina, mpaka muda huu sijajua tatizo ni nini??

Natumia mtandao wa tigo pia, kwakweli nisiwe mnafiki nakaa mpaka miezi 6 yaan huwezi kuona sms yeyote ya kitapeli, sijui tuma kule, mimi mwenye nyumba nasubiria kodi yako, mwanao kaanguka shule, na mambo mengine.

Nimejaribu kusajiri laini mpya nikasema ngoja niiweke tu ndani kwa mwezi mzima pasipo kuweka hata vocha, aisee ninayoshuhudia sijui nifanyeje, yaan ukirudi ukipitia simu unakuta sms mpaka 4 za kitapeli.

Airtel ombeni ushauri hata mitandao mingine labda mjifunze wenzenu wameweza kuwabana vipi hawa matapeli ambayo kila muda tuma humu???

Inafika nyakati mpaka kufungua sms unaona ujinga maana kwa siku hukosi sms mbili hadi 4 za matapeli, tatizo ni nini???

AIRTEL HEBU WACHUNGUZENI WALE WANAOPITA MTAAN KUSAJIRI LAIN LABDA INAWEZA KUPUNGUZA KELO.
1722775991997.png
 
Back
Top Bottom