Msaada: Nashindwa kuhimili tendo kwa muda mrefu

Jamn siku ya leo nimeshindwa kufanya tendo nikiingia kidogo kwenye uke namwaga mapema. Mwanzoni nilikuwa muhanga wa punyeto lakin nimeacha kwa muda mrefu kidogo ila sasa nashindwa kufanya tendo.

Pia niña miaka ipatayo miwil sijafanya tendo ila leo nikajua ntakuwa flexible kushiriki lakini imeshindikana but nikiwa mwenyewa nasimamisha vizur ila nikiwa na demu basi hisia zinakuwa kali namwaga mapema.

Msaada wanakikundi. Pia napokuw mwenyew nikisimamisha chuma ikilala tu mshipa unanishika dah msaadaa.😟😟😟😟
Kama unapanua miguu unaharibu
 
Kuna watu wanajivunia kupiga punyeto,lakini matokeo yake ni mabaya sana.Katika kesi nyingi za udhaifu wa nguvu za kiume asilimia 90 ni wale waliofanya jambo hili kwa mida mrefu na hata sasa wanaendelea kufanya.Asilimia 10 tu ndiyo kuna visababishi vingine hususani magonjwa kwenye mfumo wa mwili.
Ninakushauri mambo yafuatayo;
1.Kama hujaacha,acha sasa zoezi hilo mara moja.Amua kuacha kabisa,hili liko chini yako.
2.Tafuta tiba maalumu ya kurudisha misuli yako iliyoharibiwa na zoezi hilo,unapofanya punyeto kwa muda mrefu misuli ya uume huathirika pakubwa na hivyo kupoteza uwezo wake wa awali wa kuhimili upokeaji wa damu katika mishipa yake na matokeo yake huwezi kumaliza mida mrefu kwa sababu uume umekuwa legelege( Joto kidogo tu tayari).
Kumbuka unahitaji kwanza tiba kwa sababu umeshaathirika ndipo utaendelea na hatua nyingine,huwezi kutibu malaria kwa kulala kwenye chandarua! Lazima kwanza utumie dawa na baadaye uendelee kujikinga.
 
Jamn siku ya leo nimeshindwa kufanya tendo nikiingia kidogo kwenye uke namwaga mapema. Mwanzoni nilikuwa muhanga wa punyeto lakin nimeacha kwa muda mrefu kidogo ila sasa nashindwa kufanya tendo.

Pia niña miaka ipatayo miwil sijafanya tendo ila leo nikajua ntakuwa flexible kushiriki lakini imeshindikana but nikiwa mwenyewa nasimamisha vizur ila nikiwa na demu basi hisia zinakuwa kali namwaga mapema.

Msaada wanakikundi. Pia napokuw mwenyew nikisimamisha chuma ikilala tu mshipa unanishika dah msaadaa.😟😟😟😟
Umepima hauna ugonjwa wowote unaoumwa? Kama hauna tatizo punguza kupania na ile hali ya wasi wasi kwamba sijui nitaweza ukishqjiukiza hivyo hutoweza wewe simama piga shoo, alafu uyo demu upo nae unampenda kweli?
 
Umepima hauna ugonjwa wowote unaoumwa? Kama hauna tatizo punguza kupania na ile hali ya wasi wasi kwamba sijui nitaweza ukishqjiukiza hivyo hutoweza wewe simama piga shoo, alafu uyo demu upo nae unampenda kweli?
Yah nampend
 
Kuna watu wanajivunia kupiga punyeto,lakini matokeo yake ni mabaya sana.Katika kesi nyingi za udhaifu wa nguvu za kiume asilimia 90 ni wale waliofanya jambo hili kwa mida mrefu na hata sasa wanaendelea kufanya.Asilimia 10 tu ndiyo kuna visababishi vingine hususani magonjwa kwenye mfumo wa mwili.
Ninakushauri mambo yafuatayo;
1.Kama hujaacha,acha sasa zoezi hilo mara moja.Amua kuacha kabisa,hili liko chini yako.
2.Tafuta tiba maalumu ya kurudisha misuli yako iliyoharibiwa na zoezi hilo,unapofanya punyeto kwa muda mrefu misuli ya uume huathirika pakubwa na hivyo kupoteza uwezo wake wa awali wa kuhimili upokeaji wa damu katika mishipa yake na matokeo yake huwezi kumaliza mida mrefu kwa sababu uume umekuwa legelege( Joto kidogo tu tayari).
Kumbuka unahitaji kwanza tiba kwa sababu umeshaathirika ndipo utaendelea na hatua nyingine,huwezi kutibu malaria kwa kulala kwenye chandarua! Lazima kwanza utumie dawa na baadaye uendelee kujikinga.
Saw
 
Sasa kama ni ivyo kwanini unafeli kupiga shoo mkuu? Relax na jitaidi kufanya mazoezi pia kama una jambo lina kupa strees jitaidi liishe mara nyingi haya mambo ni afya ya akili, kama akili haipo sawq basi utafeli game kimbia sana ili unywe maji mengi yu will be okay mkuu
Asante bro
 
Jamn siku ya leo nimeshindwa kufanya tendo nikiingia kidogo kwenye uke namwaga mapema. Mwanzoni nilikuwa muhanga wa punyeto lakin nimeacha kwa muda mrefu kidogo ila sasa nashindwa kufanya tendo.

Pia niña miaka ipatayo miwil sijafanya tendo ila leo nikajua ntakuwa flexible kushiriki lakini imeshindikana but nikiwa mwenyewa nasimamisha vizur ila nikiwa na demu basi hisia zinakuwa kali namwaga mapema.

Msaada wanakikundi. Pia napokuw mwenyew nikisimamisha chuma ikilala tu mshipa unanishika dah msaadaa.😟😟😟😟


Anza na hapa utakaa vizuri tu
 
Back
Top Bottom