Msaada: Nashindwa kuhimili tendo kwa muda mrefu

Bairam boy

Member
Jul 25, 2024
30
40
Jamn siku ya leo nimeshindwa kufanya tendo nikiingia kidogo kwenye uke namwaga mapema. Mwanzoni nilikuwa muhanga wa punyeto lakin nimeacha kwa muda mrefu kidogo ila sasa nashindwa kufanya tendo.

Pia niña miaka ipatayo miwil sijafanya tendo ila leo nikajua ntakuwa flexible kushiriki lakini imeshindikana but nikiwa mwenyewa nasimamisha vizur ila nikiwa na demu basi hisia zinakuwa kali namwaga mapema.

Msaada wanakikundi. Pia napokuw mwenyew nikisimamisha chuma ikilala tu mshipa unanishika dah msaadaa.😟😟😟😟
 
Jamn siku ya leo nimeshindwa kufanya tendo nikiingi kidogo kwenye uke namwaga mapema. Mwanzon nilikuwa muhamga wa puñetazo lakin nimeacha kwa muda mrefu kidogo ila sasa nashindwa kufanya tendo...
Na mwaka wa 25 napiga nyeto.. na nikiingia kwenye game.. cha kwanza dk 45... weye una matatizo mengine broo.. usiichafue nyeto na kuishiushia hadhi

C.c dronedrake
 
K
Na mwaka wa 25 napiga nyeto.. na nikiingia kwenye game.. cha kwanza dk 45... weye una matatizo mengine broo.. usiichafue nyeto na kuishiushia hadhi

C.c dronedrake
Kak mbn unanitixha at
Na mwaka wa 25 napiga nyeto.. na nikiingia kwenye game.. cha kwanza dk 45... weye una matatizo mengine broo.. usiichafue nyeto na kuishiushia hadhi

C.c dronedrake
Kak mbn unaniogopesha sasa dah
 
Back
Top Bottom