Shukran mkuu🙏🙏Sasa kwa Zimbabwe si hata hutafuti visa ni passport tu ndani ya siku 14, ila unaanzia mwenyewe online unapata ile form unajaza watakuomba viambatisho utaeka, utaenda uhamiaji wilaya atakupitishia tena km hana shaka na uraia wako kama jamaa wa mipakani labda umpe ten ya shukrani then uende mkoani napo hapana mzunguko ni vimaswali kidogo tu, anapitisha anakupa control number unalipia unangojea siku 14 tu
Nikuazime yangu?Habari wakuu nimepata mchongo wa kazi nje ya nchi, nimepewa taratibu za kupata passport na inachukua muda wa mwezi na week kutoka, naombeni msaada kama kuna njia naweza kutumia kuipata kwa siku 7. Kila kitu kinachohitajika ninacho.
Natanguliza shukran🙏
Kama upo serious kweli. Njoo pm. Kama ni utani usije. NitakupasuaMoshi
Duh! Milioni? Mbona kubwa sana mm nimepata passport yangu ndani ya wiki na siku tatu kwa Tsh. 450,000/- tuAndaa nyaraka zako Zote zinazohusu uraia wako, sababu ya kuhitaji passport, taarifa za huyo mwenyeji wako huko uendako, kama ni biashara, muariko, shule nk,,, harafu Andaa kibunda maana kwa taratibu kabisaaaa mpaka kupata passport kwa mwez mmoja, 150000,,ila Kuna express 1,000,000 hiyo ndani ya siku moja mpk siku saba! Lkn utapata passport baada ya mamlaka kujiridhisha kama unastahili kupata, kwakuwa lazima wafanye nyatu nyatu. Kala la kheri mkuu huko ughaibun
UKISHALIPA 20K INAFATIA 130K SIO 150K labda bei iwe imepandafanya maombi online jaza soft copy documents zote kupitia uhamiaji portal lipia elf 20 kisha nenda ofisi ya uhamiaji kwa ajili ya finger print na kulipia laki na nusu
450,000 ina maana ulitoa 300,000 ya ganji au vipiDuh! Milioni? Mbona kubwa sana mm nimepata passport yangu ndani ya wiki na siku tatu kwa Tsh. 450,000/- tu
Dodoma lkn niliipata MwanzaUpo mkoa gani kaka
Ndio mkuu maana hapo ni kama nlitoa 470,000/- malipo ya passport yalikuwa 150,000/- 130k ya passport 20k ya fomu jumla ndio hiyo 150k ila ilipidi nitoe 20k ya mwanasheria sjui kuna kuapa mahakamani (ila wanatoa hapo hapo hakuna kufika mahakamani) maanake kwenye hiyo 470k malipo halali ilikuwa 150k ambayo ndio ina risiti hiyo 320k haina risiti450,000 ina maana ulitoa 300,000 ya ganji au vipi