cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,184
- 140,142
Hebu toa ufafanuzi vizuri zaidi. Plz.Worldremit iko poa hasa kwa watumiaji wa tigo, ukitumiwa pesa toka nje, ndani ya nusu saa unaweza kuitoa. Iko poa sana
Hebu toa ufafanuzi vizuri zaidi. Plz.Worldremit iko poa hasa kwa watumiaji wa tigo, ukitumiwa pesa toka nje, ndani ya nusu saa unaweza kuitoa. Iko poa sana
Hebu mtueleze kwa undani zaidi bas, nataka kufahamu.Tumia worldremit mkuu, hasa ukiwatumia kwa Tigo Pesa ni Instant within two hours they will receive mtonyo.
Western union enyewe inakuaje???Western unioni ni njia bora zaidi na salama.
Hellow bibi naomba msaada wako, hebu fafanua vyema.Huko uliko hakuna wa-Pemba wanaofanya money transfer service?
Ndo mtueleze vizuri hapaaaa.Wester union tatizo inachukua mda hadi wakupe hela zako, kwanza ujaze zile form zao halafu watakukalisha hapo hata lisaa unaweza kupoteza. Yaani wako so slow hao watu lakini worldremit hela zaingia direkt tigopesa au Mpesa.
Ndo inakuaje hii??Tumia money gram
Oooooh kumbe?? Basis naomba nielekeze vizuri hapa.Inategemea na kiwango cha pesa na uharaka wa hizo pesa. Kwa kiwango cha chini ya 5M moneygram inafaa, hauhitaji kuwa na account, unatakiwa kuwa na kitambulisho kama passport, driving license au kile cha kupigia kura.
Hii naona ndo nzuri zaidi.Tumia au mwambie atumie WORLD REMIT matokeo utayoyapata naamini utaipenda
babuuuh naomba unieleweshe kuhusu world remit, western union na money gram.Siku hizi tulioko mavumbini ndo tunawatumia fedha walioko mamtoni? Hivi vyuma anko Magu kavikaza mpaka kwa watasha.... Tawile baba!
Hebu nifafanulie hii njia, puliiiiz.
Sender anakutumia details alizojaza kwenye fomu ya kutumia, halafu wewe unajaza hizo details kwenye fomu ya kupokelea ukiambatanisha na kitambulisho chako kwa wakala wa Western Union unapata cash yakoWestern union enyewe inakuaje???
Aliopo nje anajiunga kupitia link hii International Money Transfer - Send Money Online | WorldRemit au playstore baada ya hapo anatuma kupitia mitandai ya simu (Tigo wako vizuri zaidi fasta unapokea) au bank na unachukua mpunga kiulaini kwa wakala. Siku hizi kuna Nala ila ni baadhi ya nchi japo sijawai kuitumiaHebu mtueleze kwa undani zaidi bas, nataka kufahamu.
Plz
Ikiwa una mtu wako yupo ulaya au us mwambie atumie workdremit.Hebu mtueleze kwa undani zaidi bas, nataka kufahamu.
Plz