Jaman naombeni mnisaidie mm pia Ni miongoni mwaniliotuma pesa nacte lkn nkifanya kuaply wanakataa nahela ndo tiali washachukua na code no walinirudishia sasa wwwsa nashindwa kuelewa nn tatizo na katika milolongo ya kuomba kuna maneno yanazingua kwan yanahitaji namba iixhie 15 naisipite maneno hayo Ni haya(how many o level seats do you have? ) msaaada nnawaombeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.