Wakuu kwema nyote, naomba nianze tatizo hili kuna jamaa kanunua flat screen na vile vichuma wakampa vya kuvungia ukutani, maana akisema aweke ikae kwenye meza anahofia watoto watasukuma.
Sasa anatafuta fundi au jinsi ya kuifunga ukutani afanyeje?
Natanguliza shukrani š.
Sasa anatafuta fundi au jinsi ya kuifunga ukutani afanyeje?
Natanguliza shukrani š.