kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,514
- 7,940
Ndio haijafika hd sasa...Wakuu mbona ina quality bomba tuuView attachment 1546664View attachment 1546666
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Ndio haijafika hd sasa...Wakuu mbona ina quality bomba tuuView attachment 1546664View attachment 1546666
Ulitaka tukudanganye hyo ni HD wakat sio?Ni kweli aisee sijui ugumu unatoka wapi au ni yale mazoea ya kuishi in the same circle daily kwamba ili kitu kiwe hivi ni lazma kiwe kama ulivyo zoea kuona.
Hazina Virus kaka? manake computer zenyewe tulizonazo za mikopo ahaaaaTumia site ya 1337x.to au yts.am
Kisha download BitComet - A free C++ BitTorrent Download Client kupata app yakuwez download movies kutoka kweny hizo site
Kwan antivirus huna?Hazina Virus kaka? manake computer zenyewe tulizonazo za mikopo ahaaaa
Ninayo hila sidhani kama movie zina option ya kuscan
sasa hiyo solution360 ndio HD ???????Kutuma mb 300 WhatsApp mtandao sio rafiki ila cheki screenshot hiiView attachment 1546530
HD 1080p huko na unakuta ina 2GBHii sio full HD mkuu
Labda niwe sipo sahihi maana ya hd ninayo ijua mimi
Kwahiyo mkuu kwako wewe kumfurahisha mtu ni kumpa jibu analolitaka hata kama ni uongo
Sasa video sio HD na kajibiwa sio HD sasa sijui ulitaka ajibiweje labda?
Au ulitaka ajibiwe ndio ni HD ili asiumizwe moyo wake?
sasa hiyo solution360 ndio HD ???????
Kwahiyo mkuu kwako wewe kumfurahisha mtu ni kumpa jibu analolitaka hata kama ni uongo
Sasa video sio HD na kajibiwa sio HD sasa sijui ulitaka ajibiweje labda?
Au ulitaka ajibiwe ndio ni HD ili asiumizwe moyo wake?
Hapa ndo maneno yenyewe sasa wacha niingie nikashushe vitu mtaa wa pili ni kuskiaga tu harufu 😁🤦🤪🏃Muuliza swali kauliza kama anaweza kupata movie za HD majibu yakawa kwa mb hizo huwezi kupata HD movies
Ikawekwa video resolution zake akajibiwa hiyo sio HD
Kutokua HD haimaanishi kitakua kibaya au kina quality mbovu.........
Hd inavigezo vyake kuwa HD, hata wewe uone ina quality nzuri kiasi gani kama sio HD itakua sio
Mimi kutokana na ukata wa mb sinaga muda na kuhangaika na movies au series za HD zenye ma mb mengi huwa nazama zangu TV series, shows/Cartoon, Anime, Manga/Documentaries for mobiles in avi/3gp format - MobileTVshows kwa series
Au nazama https://www.fzmovies.net kwa movies
Napata movies mb 200 hadi 300 na series episode kuanzia mb 90 hadi 150
Quality naridhika nayo lakini sio Hd
Naangalizia kwenye Tab au Laptop
Naombeni kujua application nzur za kudownload movie kwenye PC bila kulipia
[/QUOT download U torrent then search KAT binafs nnaitumia hyo kwa miaka ming sasa na movies zao HD kabsa.
unapokwama un Dm nitakuelekeza vizur.Naombeni kujua application nzur za kudownload movie kwenye PC bila kulipia