Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 129,657
- 249,340
Wakati anamkomoa Nabii Lema alidhani itakuwaje, Jiwe aliyemsifia leo yuko wapi? Atavuna anachopandaMbunge wa Arusha mjini mh Mrisho Gambo amesema ikiwa mwana wa Mungu Yesu Kristo alipitia mateso yeye Gambo ni nani hadi asiteseke?
Gambo amesema ibadani kwamba anapitia mateso lakini Yesu Kristo alipitia mateso makubwa kwa ajili yake na amejihisi Leo amezaliwa Upya
Source: Upendo tv
Mlale unono 😁