mkuu akikujibu ntag!!!Kumbe mpenzi wako yupo humu, na ulikuja kumkandia humu na unataka kumrudia ili siku mkigombana uje tena kumchamba humu?? Hivi huwezi maliza issue zako za mahusiano bila kuzileta mtandaoni?? Huyo mchumba wako kazi anayo, usipojifunza uvumilivu na staha utaachwa mpaka utashangaa
Mleta mada alikua kewe umesoma sayansi. siku zote huwa upo brief. by the way we ke/me?
Wewe ni mwanaume au mwanamke? sweetapple[/QUOTE
Kwa hilo jina atakuwa binti huyu,akiwa Dume basi kutakuwa na tatizo mahali..
Wewe ni mwanaume au mwanamke? sweetapple
Ameshasema amekosea alikua anamjibu mwenye mada.I smell something..![]()
![]()
Daaah Mtu akijuaa ID yakoo alafu akawa anakufahamu beyond keyboard nayo ina shida zake aiseee.