mwarabuwadubeii
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 661
- 651
Ungetaka kutenda haki Kwa hao washiriki wote ingetumia namba yako ya Tigo kuwa rushia hela watu wa Mpesa kwani lingetokea namba ya simuitakuwa hawakujua, lakini nasikitika kuwa hakuna anayejiyejitokeza kusema yeye ni miongoni mwa hao unaowazungumia wewe (yaani alitumiwa, akataka kurejesha ila hakupata namba). Tuseme hao unaowazungumzia wewe watakuwa wana bahati mbaya kama wale ambao wanaweza wasielewe interview itafanyikia ukumbi gani amma kwa uzembe au kwa bahati mbaya, hawa nao huwa wanakuwepo ndio, na kama anatafutwa mtu mmoja walioomba ni 2000, hiyo ni moja ya njia zinazotumika kupunguza watu (suala la kuwa ni nzuri au mbaya huo ni mjadala mwingine).