Wewe unajua, You Know 😂 Mama Moze Iyobo 🤣Kama rushwa ya ngono ingekua mtu,..anhaa Basi inatosha apumzike tu.ila huyu na Chips Chipungaelo Wana balaa
Basilla mwanukuzi. Alikuwa miss Tanzania nadhani 1997 au 1998Kwani sahiv yapo chini ya nani, siyasikii tena?
Wengi wameambukizwa ile ngoma ya south Africa, haikubali kabisa ARVYuko wapi nae.
Ukijaribu kufuatilia warembo wa dunia unaishia na maradhi ya baridi basi.
hawana lolote na usijefikiria kuoa mmoja wao utakufa mapema.
Kwani nae ni KE???hivi wewe alikukosa kweli ? au hukuwa na vigezo vya umiss?
Wachache sana! You Know 😂Inalilah wainailah rajiun
Hahaha.............ameenda kukutana nao huko huko ahera😜Hizi pisi azisubiri kule kwa bikra 72.
Wewe unajua, You Know 😂 Hao ndio walikuja na msemo mwingine ulikuwa unasema "Uzee mwisho Chalinze" 🤣Hawa wazee ndio walileta misemo ya Laki si Pesa. Bata kila mahali enzi za kina Wema na kina Sinta mama ya J nature
Sure...Yuko wapi nae.
Ukijaribu kufuatilia warembo wa dunia unaishia na maradhi ya baridi basi.
hawana lolote na usijefikiria kuoa mmoja wao utakufa mapema.
Ngoja tusubiti tuone utakufajeUkiona inatamkwa "aliugua kwa muda mrefu" OGOPA.
R.I.P Papaa Lundenga. Mafataki hawatakaa wamsahau huyu mdau muhimu kwenye career yao.
Kama kweli kuna moto basi na kitubu pia kupo. Usijeshangaa wewe ndio ukaenda kuuoga huo moto!Kama kuna moto huyu anaenda kuoga maana yeye na yule Makengeza Makoye walijiona ufahari sana kumiliki MAKU. Huyu kabla ya kifo katahabika sana mpaka akaomba msamaha kwa mkewe akahamia Kibaha kutoka Kimara. Kifupi alimtesa sana mkewe.
Umenena vema mkuuMkuu tupo kwenye maombolezo ujue
Hata hivyo Kwa mujibu wa maandiko ya vitabu vya Dini, mwenye mamlaka ya kuhukumu ni mola wetu pekee
Huenda nyakati za kuugua kwake Kwa muda mrefu jamaa atakuwa alimrudia Mungu wake Kwa kufanya toba
Kwa maana tunaambiwa Mungu wetu ni mwingi wa rehema ambaye hutoa msamaha Kila tunapoenda kumlilia miguuni pake
Kama kumzika haimusaidii mtu kwenda kwa Mungu, wasijipe umuhimu huo!Kuna kipindi waislamu walisema akifa hawata enda kumzika kisa mambo ya umiss enzi ZILE.
Hii ilikuwa ni business ya wanaume wawili wakiwahudumua wasixhana wabichi. Wanaume hawa ndiyo huyo marehemu Lundenga na mkuu wake wa itifaki marehemu Albert Makoye. Kwa kuwa wote wamefariki, basi imekuwa an end of an era. Ila wameacha kumbukumbu ndanibya mioyo ya hao wasichana waliowahi kushiriki miss Tanznia ngazi ya taifa, majanga!!Laiti kama ange develop leaders kwenye taasisi yake huenda bado tungekuwa tunayasikia mashindano ya Miss Tanzania kwa mafanikio makubwa kama alivyoyatendea
Ok.Kama kumzika haimusaidii mtu kwenda kwa Mungu, wasijipe umuhimu huo!
Mungu wetu ni mwema sana, ni Mungu wa huruma na rehemaUmenena vema mkuu
Umewaza kama mimi nilivoona tanzia ikabidi niangalie tarehe sijui kwa nini nilkuwa nahisi kuwa huyupo nasi kitambo.Hivi kumbe hakufaga huyu muhuni wa zamani?
Safari njema babu 😥