Mradi wa usalama barabarani TZS 1.7 trillion?

Shaka-tz

New Member
Nov 22, 2024
1
3
Nchi hii haishi vituko.

Kuna kigogo mmoja wa Bunge, kawa dalali wa kampuni moja ya UAE anashinikiza jeshi la Polisi na wizara ya Mambo ya ndani kuingia katika mradi wa ubia wa dola milioni 700 unaohusu kuweka camera za usalama barabarani nchi nzima.

Gharama halisi ya mradi huu kwa upembuzi yakinifu uliofanywa mwaka 2021 ni dola 200 millioni. Kampuni ya UAE inataka iruhusiwe kufanya huu mradi ikiwa ni pamoja na kupewa government guarantee ikakope huko nje--na mradi huu unapaswa kufanyika kwa utaratibu wa PPP.

Jumla ya camera kwa nchi nzima na mifumo yake ni 1, 450--na hawa jamaa wanataka kuwapiga watanzania, wamepika hadi takwimu za makosa ya usalama bararani wanadai kwa siku ni wastani wa makosa 60,000 na kila kosa 30,000 shilingi. Upuuzi mtupu.
 
Nchi hii haishi vituko.

Kuna kigogo mmoja wa Bunge, kawa dalali wa kampuni moja ya UAE anashinikiza jeshi la Polisi na wizara ya Mambo ya ndani kuingia katika mradi wa ubia wa dola milioni 700 unaohusu kuweka camera za usalama barabarani nchi nzima.

Gharama halisi ya mradi huu kwa upembuzi yakinifu uliofanywa mwaka 2021 ni dola 200 millioni. Kampuni ya UAE inataka iruhusiwe kufanya huu mradi ikiwa ni pamoja na kupewa government guarantee ikakope huko nje--na mradi huu unapaswa kufanyika kwa utaratibu wa PPP.

Jumla ya camera kwa nchi nzima na mifumo yake ni 1, 450--na hawa jamaa wanataka kuwapiga watanzania, wamepika hadi takwimu za makosa ya usalama bararani wanadai kwa siku ni wastani wa makosa 60,000 na kila kosa 30,000 shilingi. Upuuzi mtupu.
Wacha waendelee kuitafuna nchi.
DP WORLD
RICHMOND
IPTL
MO DEWJI
MANJI
LUGUMI
ABDUL
NGORONGORO
....
...
 
Nchi hii haishi vituko.

Kuna kigogo mmoja wa Bunge, kawa dalali wa kampuni moja ya UAE anashinikiza jeshi la Polisi na wizara ya Mambo ya ndani kuingia katika mradi wa ubia wa dola milioni 700 unaohusu kuweka camera za usalama barabarani nchi nzima.

Gharama halisi ya mradi huu kwa upembuzi yakinifu uliofanywa mwaka 2021 ni dola 200 millioni. Kampuni ya UAE inataka iruhusiwe kufanya huu mradi ikiwa ni pamoja na kupewa government guarantee ikakope huko nje--na mradi huu unapaswa kufanyika kwa utaratibu wa PPP.

Jumla ya camera kwa nchi nzima na mifumo yake ni 1, 450--na hawa jamaa wanataka kuwapiga watanzania, wamepika hadi takwimu za makosa ya usalama bararani wanadai kwa siku ni wastani wa makosa 60,000 na kila kosa 30,000 shilingi. Upuuzi mtupu.
Deals kama hz ndio zilimpa ukwasi kenge mmoja, JV anayejifsnya mtu wa swala tano,situation hz, mitandsoni kila situation, akijitapa anasaidia maskini, watoto yatima, sasa hv amekuwa anatoa VI motivation story vya uchwala, baaada ya kugundua, Mali zote alizochuma kiharamia, hatazikwa nazo! Zitabaki hapa hapa, na uzee ndio umeingia! Stupid asshole
 
Bado sioni kama Ndio kipaumbele Chetu kama Taifa, Hio Almost 1 trillion ipelekwe Kwenye Uhitaji zaidi Kuliko Kufunga izo camera ambazo operation cost zake na Maintenance ni Gharama
 
Jumla ya camera kwa nchi nzima na mifumo yake ni 1, 450--na hawa jamaa wanataka kuwapiga watanzania, wamepika hadi takwimu za makosa ya usalama bararani wanadai kwa siku ni wastani wa makosa 60,000 na kila kosa 30,000 shilingi. Upuuzi mtupu.
Hata kabla sijaongelea huu upigaji wa PPP ngoja kwanza niongelee hapa yaani kwamba sababu kila kosa ni elfu 30 hii imekuwa kitegea uchumi (Yaani badala ya kufanya target ya kupunguza makosa sababu watakuwa wametoa elimu hivyo makosa kupungua wao wanaona makosa yaongezeke)?

 
Tatizo la hii nchi sio kamera ila ni barabara za kiwangio cha chini. Tujenge highway za maana zenye tuta katikati wanaonenda na wanaorudi hawana pa kukutana. zile ajali za uso kwa uso zinaisha automatically.
 
Nchi hii haishi vituko.

Kuna kigogo mmoja wa Bunge, kawa dalali wa kampuni moja ya UAE anashinikiza jeshi la Polisi na wizara ya Mambo ya ndani kuingia katika mradi wa ubia wa dola milioni 700 unaohusu kuweka camera za usalama barabarani nchi nzima.

Gharama halisi ya mradi huu kwa upembuzi yakinifu uliofanywa mwaka 2021 ni dola 200 millioni. Kampuni ya UAE inataka iruhusiwe kufanya huu mradi ikiwa ni pamoja na kupewa government guarantee ikakope huko nje--na mradi huu unapaswa kufanyika kwa utaratibu wa PPP.

Jumla ya camera kwa nchi nzima na mifumo yake ni 1, 450--na hawa jamaa wanataka kuwapiga watanzania, wamepika hadi takwimu za makosa ya usalama bararani wanadai kwa siku ni wastani wa makosa 60,000 na kila kosa 30,000 shilingi. Upuuzi mtupu.

Itakuwa ni miradi ya Abdul na Mama yake. Siku hizi kila mradi unapelekwa kwa Wajomba.
 
Nchi hii haishi vituko.

Kuna kigogo mmoja wa Bunge, kawa dalali wa kampuni moja ya UAE anashinikiza jeshi la Polisi na wizara ya Mambo ya ndani kuingia katika mradi wa ubia wa dola milioni 700 unaohusu kuweka camera za usalama barabarani nchi nzima.

Gharama halisi ya mradi huu kwa upembuzi yakinifu uliofanywa mwaka 2021 ni dola 200 millioni. Kampuni ya UAE inataka iruhusiwe kufanya huu mradi ikiwa ni pamoja na kupewa government guarantee ikakope huko nje--na mradi huu unapaswa kufanyika kwa utaratibu wa PPP.

Jumla ya camera kwa nchi nzima na mifumo yake ni 1, 450--na hawa jamaa wanataka kuwapiga watanzania, wamepika hadi takwimu za makosa ya usalama bararani wanadai kwa siku ni wastani wa makosa 60,000 na kila kosa 30,000 shilingi. Upuuzi mtupu.
Kipindi cha uchaguzi hiki. Ndo wanakusanya hela za kampeni kwa mtindo huo.

Wengine wanasema nipige kabisa maana kwenye uchaguzi sina uhakika wa kushinda.

Nchi hii bila kuwatoa CCM madarakani na kuweka Katiba Mpya inakayosimika mifumo imara tutaendelea kuwa daraja la wachache kunufaika kwa fedha za walipakodi kila siku.
 
Back
Top Bottom