wasumu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 2,271
- 2,064
- Thread starter
- #41
hapo poa so huyu jamaaa akileta za kuleta nitamfanyizia mke wangu halafu natishiwa oooooh hainijii akilini unajua ...hata kidogo![]()
![]()
Umesahau Musa na Wachawi wa Misri kubadili fimbo kuwa nyoka? The only difference ni nyoka wa Musa aliwameza wale wa Wachawi kuonyesha tu Mungu ni zaidi lakini mtihani wote walifaulu sema Musa alipata 'A' Wachawi wakapata 'B' so uchawi upo.
hadi sasa nitishiwe mtu unajiaminije hivi eeeh ..