mpenzi wangu anaficha mshahara wake! ushauri jamanii

Nipe namba yake mkuu! Ntalishungulikia jambo hili mpk upate Haki yako!

Hapa tu natoka madale ku solve kesi kama yako!

Tena wewe jamaa una bahati sana! Hii kesi ndogo sana ... Sina kipengele mkuu
Huna kipengele, labda kipengele aje nacho yeye 😂
 
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana j.f
View attachment 3246308
😀😀😀😀😀
 
Hii ni kazi pia, nasikia ukijituma sana unakuwa tajiri. Hebu nenda kajaribu kama hata kuuza maji ya kandoro umeshindwa.
 
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana j.f
View attachment 3246308
Mwanamme jinga sana wewe.
Siyo lazima akupe mshahara wake. Unatia aibu. Tafuta kazi mjinga wewe.
 
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana j.f
View attachment 3246308

giphy.gif
 
Back
Top Bottom