mpenzi wangu anaficha mshahara wake! ushauri jamanii

1academ

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
2,313
3,555
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana j.f
FB_IMG_1740305202277.jpg
 
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana j.f
View attachment 3245171
Una makosa matano kwenye hii scene: Kosa la kwanza hujamuoa so katika sheria za dunia(asili) hii hata mbinguni huna haki, kosa la pili ni wewe kama jinsia ya kiume kutaka pesa ambazo hujazifanyia kazi, kosa la tatu ni kushindwa kushughulika na hilo tatizo katika mahusiano yenu badala yake unaleta malalamiko hayo kwa umma ili wakusaidie kutatua tatizo dogo kama hilo ambalo haligusi maslahi ya jamii yoyote zaidi ya wewe na mwenzio, kosa la nne na la tano malizia mwenyewe... Jifunze kukua.
 
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana j.f
View attachment 3245171
Hii picha imenikumbusha mbali
 
Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke
Mwanaume unalalamikia hela ya mpenzi wako? Seriously.

Hii ni hatua ya mwisho Mwanaume hupitia kabla hajawa SHOGA kamili, tabia za kupenda vitonga unaweka marinda yako hatarini.

Be a Man, be responsible. Jifunze kujitegemea.
 
Tafuta kazi mkuu, ili upate pesa yako kihalali kabisa
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana afuta kaz
 
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana j.f
Peleka facebook
 
ushauri wenu jamaniii
mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 30 niko kwa relationship na dem mwenye umri wa miaka 28. Huyu mpenzi wangu anafanya kazi na anapata 700k kwa mwezi na mimi sifanyi kazi hata yeye analijua hilo

Tukianza relationship tulikuwa tukigawana mshahara yake nusu kwa nusu na kila kitu kilikuwa kikienda vizuri maana relationship ni kusaidiana wakati WA Shida na raha. Shida ilianza 3 months ago alipoanza kuniambia kuwa hajalipwa. Wakati mwingine anasema amelipwa nusu ya mshahara. Namwambia tugawane hiyo nusu ananipiga chenga hanipi hata senti yoyote kwa muda wa miezi yote mitatu iliyopita ,anatoa ahadi ya kunipa nachukua madeni nikitegemea pesa alafu hanipi hadi muda nina madeni makubwa nikimkumbusha anasema nisijali nashindwa kumuelewa huyu mwanamke

Wakati fulani natamani hata kwenda kumuuliza mwenye amemuajiri kama ni kweli halipwi au analeta siasa za mbowe.

Kabla sijachukua hatua nyingine niulize kweli Kuna matajiri wanalipa mshahara nusu au huyu mwanamke amepata mwanaume mwingine? Je, niendelee kukua na yeye ama? 😭 😭 apa nimechanganyikiwa mazee dah mnanishauri nini!??wana j.f
Asee hii ni ngumu kumeza,sema Bora hata wewe wategemea nusu ya pesa ya mwanamke,manake Kuna watu wanatoa nusu ya pesa yao Kwa mwanamke😐😐😐
 
Back
Top Bottom