Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,585
- 1,539
Mkuu civil ni nzuri kupita kiasi haina kuchafuka,,akiwa na ordinary diploma ana soko pana la ajira kama foreman kusimamia barabara,,majengo,,na pia kufanya kazi idara za maji na vituo vya kupimia uzito wa magari kote hakuna kuchafuka na mishahara ni mizuri,,akiwa na degree ndo ana wigo mpana zaidi.Civil ni nzuri na inakupa uwezo wa kufanya kazi nyingi za maana.Yuko Civil mkuu, ebu mwaga nondozi za uzoefu hapo