Mpenzi wa zamani kaleta vurumai kumkuta mpenzi mpya

Sawa Mkuu inawezekana ni mtego wala hana ujauzito, lakini tegemea hilo swali kama atakupa nafasi ya kukaa nawe ili kuzungumzia hilo la X wako mtoto wa Kitanga mwenye kujua kuonyesha mapenzi ya kweli na pia mtundu na mwenye kujituma kwenye utamu.

Mkuuu BAK

Swala la mimba nahisi kama nachezewa akili, hakuwahi kuniambia hapa awali, na kuhusu S nilishamueka bayana kua nilikua na mtu ila tumeachana
 
Sawa Mkuu inawezekana ni mtego wala hana ujauzito, lakini tegemea hilo swali kama atakupa nafasi ya kukaa nawe ili kuzungumzia hilo la X wako mtoto wa Kitanga mwenye kujua kuonyesha mapenzi ya kweli na pia mtundu na mwenye kujituma kwenye utamu.
Mkuu mi ntakua muwazi tu kama akiniuliza chochote, sihitaji kujipanga, ntakua mkweli tu liwalo na Liwe...

Ngoja hapa nichanganye akili na mzee mzima 'castle milk stout' angalau tushauriane pa kuanzia kesho
 
Yap! hapo kwenye rangi ni muhimu sana. Kama nimuelewa hataona kosa lako kwake hivyo kutokuwa na sababu ya kuvunja penzi lakini akiamua kuvunja penzi kutokana na aliyoyasikia kwa X atakuwa na lake jambo. Kila la heri.

Mkuu mi ntakua muwazi tu kama akiniuliza chochote, sihitaji kujipanga, ntakua mkweli tu liwalo na Liwe...

Ngoja hapa nichanganye akili na mzee mzima 'castle milk stout' angalau tushauriane pa kuanzia kesho
 
Yap! hapo kwenye rangi ni muhimu sana. Kama nimuelewa hataona kosa lako kwake hivyo kutokuwa na sababu ya kuvunja penzi lakini akiamua kuvunja penzi kutokana na aliyoyasikia kwa X atakuwa na lake jambo. Kila la heri.
Pamoja mkuu, hii awamu kweli mikosi, serikali ya kibabe, wanawake nao wanajikuta wababe
 
Mahusiano magumu Mkuu, lakini kama kishakuzimia basi usiwe na hofu sana. Maana nakuona unamtreat vizuri sana kama leo uliandaa romantic dinner mahali palipotulia. Hizi za kwenda sehemu kama hizi mkatulia mnaongea yenu huku mkiburudika na msosi na vinywaji huwa nazihusudu sana. Na dalili ni nzuri Mkuu kwani amekuomba umuache atulie kisha mtayaongea.

Pamoja mkuu, hii awamu kweli mikosi, serikali ya kibabe, wanawake nao wanajikuta wababe
 
Makosa n kumuambia
Mwanamke unamuacha
Haa haa unakua umechokoza
Nyuki
 
Mahusiano magumu Mkuu, lakini kama kishakuzimia basi usiwe na hofu sana. Maana nakuona unamtreat vizuri sana kama leo uliandaa romantic dinner mahali palipotulia. Hizi za kwenda sehemu kama hizi mkatulia mnaongea yenu huku mkiburudika na msosi na vinywaji huwa nazihusudu sana. Na dalili ni nzuri Mkuu kwani amekuomba umuache atulie kisha mtayaongea.
Ndo hivo mkuu mahusiano magumu sana, ila tatizo ni kwamba I had to dump an innocent girl ili niwe nae, which is not right, but sikua na option..

Mkuu huyu ex ananitext text za ajabu sana, she seems drunk na anaweza kufanya kitu cha ajabu... Ata kama tumeachana but she was good to me and no matter how I'll try to deny it,I care for her!! Akifanya Ujinga I will be held responsible

Hapa nataka nirudi tu atleast I watch her asifanye Ujinga, is it a good move mkuu BAK?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mh! Ukiamua kurudi na S akigundua unadhani atakuonaje? Au ndiyo mtaa wa mchepuko Mkuu?

Ndo hivo mkuu mahusiano magumu sana, ila tatizo ni kwamba I had to dump an innocent girl ili niwe nae, which is not right, but sikua na option..

Mkuu huyu ex ananitext text za ajabu sana, she seems drunk na anaweza kufanya kitu cha ajabu... Ata kama tumeachana but she was good to me and no matter how I'll try to deny it,I care for her!! Akifanya Ujinga I will be held responsible

Hapa nataka nirudi tu atleast I watch her asifanye Ujinga, is it a good move mkuu BAK?
 
Mh! Ukiamua kurudi na S akigundua unadhani atakuonaje? Au ndiyo mtaa wa mchepuko Mkuu?
Yaani mkuu ntajaribu kua honest, S kazima simu, I'll call her friend... Nimueleze kua amuambie huyu ex bado yupo home, drank and all that, determined kufanya Ujinga!! So am going back, just making sure nothing crazy happens....

Amuambie she got to trust me maana ningekua na nia mbaya nisingemtaarifu!!! Akichukulia vibaya poa tu maana sina namna zaidi ya kua muwazi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Good luck and all the best Mkuu.

Yaani mkuu ntajaribu kua honest, S kazima simu, I'll call her friend... Nimueleze kua amuambie huyu ex bado yupo home, drank and all that, determined kufanya Ujinga!! So am going back, just making sure nothing crazy happens....

Amuambie she got to trust me maana ningekua na nia mbaya nisingemtaarifu!!! Akichukulia vibaya poa tu maana sina namna zaidi ya kua muwazi
 
Back
Top Bottom