mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
town ndo mpango mzima ukiishiwa unauza ulichonacho
Hayo ni matumizi ya buku mbili huko bush haya mjini buku mbili ya kazi gani? Make kuhonga laki tu mnaanza malalamikoBuku 2 anakula na kulewa kabisa km ni mlevi..! Parachichi, ndizi, mapera na matunda mengine hayauzwi kijijini kwetu..! Wengi huwa wananunulia mafuta ya rays&mamys yale ya mgando..! Au chupi za book.
Kijijini kesi za ugoni/kuchepuka siyo ugomvi mkubwa km town, ukishikwa mtu mnakubaliana unamlipa inakuwa siri ya ndani.Hayo ni matumizi ya buku mbili huko bush haya mjini buku mbili ya kazi gani? Make kuhonga laki tu mnaanza malalamiko
Ndugu hoja yako dhaifu sana..!jaribuni kutofautisha kama watu mlioenda shule sasa.. naona tulikuwa tunataniana..
angalia nyanja zifuatazo..
1. kiuchumi..
2. kisiasa..
3. kijamii..
Hapo ndio utajua wapi kuna umuhimu wa kuwa na jiji kama dar es salaam na kijiji kama namtumbo...
Haaahaaahaaaaaa Hallo hallo...wakikumbuka kipindi kileMadem wa buza nao washakua wajanja sio wale wa enzi hizo unamnyang'anya kanga au bangili zake unaenda nazo geto akizifata unambandua, mabadiliko yamewafikia
Sasa raha si mnapata wote wawili??...kwani raha apata mwanaume tuu??Ndo ujue kuna tofauti ya mjini na kijijini mi nmekuambia kijijini buku 30 mwezi mzima mjini hiyo buku 30 hata siku moja haitoshi, umpe mtu buku mbili akanunue parachichi au unampa ya nini
Kijijini bhana kukiboreshwa mimi mjini mnisahau tu..!