Morogoro: Waziri wa Maji Jumaa Aweso awaumbua mamlaka ya maji Morogoro, tangu mwezi February hawajaweka dawa ya kutibu maji katika matenki yao

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
13,627
23,596
Hii kwa kweli inashangaza, tangu mwezi February mwaka 2024, jamaa wanasambaza maji kwa wananchi yakiwa hayajatibiwa (treated).

Kwa hiyo kwa muda wote wananchi wamekuwa wakinywa maji yenye vimelea vya magonjwa.

Si ajabu mkoa wa Morogoro una maambukizi makubwa sana ya magonjwa ya matumbo, hasa amoeba, typhoid. Maji ni machafu, lakini bili za wananchi wanalipa.

Namshauri Waziri awape Ewura mamlaka ya kufanya ukaguzi wa maji walau kila wiki, kwa vipimo maalum, na taarifa iwe inawasilishwa wizarani na mkoani.

Haiwezekani serikali ipo, lakini miezi mitano watu wanakunywa maji machafu. Hizi mamlaka ziwe monitored, si kwenye kupeleka maji tu, bali kupeleka maji safi
 
Hii kwa kweli inashangaza, tangu mwezi February mwaka 2024, jamaa wanasambaza maji kwa wananchi yakiwa hayajatibiwa (treated).

Kwa hiyo kwa muda wote wananchi wamekuwa wakinywa maji yenye vimelea vya magonjwa.

Si ajabu mkoa wa Morogoro una maambukizi makubwa sana ya magonjwa ya matumbo, hasa amoeba, typhoid. Maji ni machafu, lakini bili za wananchi wanalipa.

Namshauri Waziri awape Ewura mamlaka ya kufanya ukaguzi wa maji walau kila wiki, kwa vipimo maalum, na taarifa iwe inawasilishwa wizarani na mkoani.

Haiwezekani serikali ipo, lakini miezi mitano watu wanakunywa maji machafu. Hizi mamlaka ziwe monitored, si kwenye kupeleka maji tu, bali kupeleka maji safi
Yeye mwenyewe alichukua 50 Mil hapo mamlakani mwaka 2020 anadhani ilikuwa siri
 
Drama kama wanavodai
images (1).jpeg
 
Hii kwa kweli inashangaza, tangu mwezi February mwaka 2024, jamaa wanasambaza maji kwa wananchi yakiwa hayajatibiwa (treated).

Kwa hiyo kwa muda wote wananchi wamekuwa wakinywa maji yenye vimelea vya magonjwa.

Si ajabu mkoa wa Morogoro una maambukizi makubwa sana ya magonjwa ya matumbo, hasa amoeba, typhoid. Maji ni machafu, lakini bili za wananchi wanalipa.

Namshauri Waziri awape Ewura mamlaka ya kufanya ukaguzi wa maji walau kila wiki, kwa vipimo maalum, na taarifa iwe inawasilishwa wizarani na mkoani.

Haiwezekani serikali ipo, lakini miezi mitano watu wanakunywa maji machafu. Hizi mamlaka ziwe monitored, si kwenye kupeleka maji tu, bali kupeleka maji safi
Awatbue kabisa, ni uzembe wa hali ya juu. Na wapo tu ofisini wanakuna vitambi
 
Hii kwa kweli inashangaza, tangu mwezi February mwaka 2024, jamaa wanasambaza maji kwa wananchi yakiwa hayajatibiwa (treated).

Kwa hiyo kwa muda wote wananchi wamekuwa wakinywa maji yenye vimelea vya magonjwa.

Si ajabu mkoa wa Morogoro una maambukizi makubwa sana ya magonjwa ya matumbo, hasa amoeba, typhoid. Maji ni machafu, lakini bili za wananchi wanalipa.

Namshauri Waziri awape Ewura mamlaka ya kufanya ukaguzi wa maji walau kila wiki, kwa vipimo maalum, na taarifa iwe inawasilishwa wizarani na mkoani.

Haiwezekani serikali ipo, lakini miezi mitano watu wanakunywa maji machafu. Hizi mamlaka ziwe monitored, si kwenye kupeleka maji tu, bali kupeleka maji safi
Aweso ni msanii kuliko unavyodhani
 
Haiwezekani serikali ipo, lakini miezi mitano watu wanakunywa maji machafu. Hizi mamlaka ziwe monitored, si kwenye kupeleka maji tu, bali kupeleka maji safi
Wanajuana vizuri sana hao, ila wakizurumiana ndiyo hutokea habari kama hizi, ina maana Mkurugenzi wa hiyo mamlaka hakuyajua hayo yote?

Huyo Aweso alichota Mil 50 hapo mwaka 2020 ndiyo maana wanalindana anajua anachofanya
 
Wanajuana vizuri sana hao, ila wakizurumiana ndiyo hutokea habari kama hizi, ina maana Mkurugenzi wa hiyo mamlaka hakuyajua hayo yote?

Huyo Aweso alichota Mil 50 hapo mwaka 2020 ndiyo maana wanalindana anajua anachofanya
Eehhh...50M, sasa Dawasco, au Arusha, Mwanza, Mbeya zenye bajeti kubwa itakuwaje...... C.A.G hakuiona hiyo?
 
Nakumbuka zamani,tulikuwa tunakunywa maji ya Bomba bila kupata athali zozote..
Tokea kuanza biashara ya maji ya kunywa maji ya Bomba yameonekana kutokuwa salama tena kwa kunywa.
Kuna umuhimu wa huduma za maji mijini na vijijini ubora wa maji ufanane na maji yanayozalishwa viwandani.
 
Nakumbuka zamani,tulikuwa tunakunywa maji ya Bomba bila kupata athali zozote..
Tokea kuanza biashara ya maji ya kunywa maji ya Bomba yameonekana kutokuwa salama tena kwa kunywa.
Kuna umuhimu wa huduma za maji mijini na vijijini ubora wa maji ufanane na maji yanayozalishwa viwandani.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom