DOKEZO  Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mombo Seleman aliyekuwa kwenye nafasi ya ubalozi ukanda wa Amerika kusini wakati wa Nchimbi atachukua nafasi ya mkurugenzi wa usalama wa Taifa aliyepo sasa!
Duh....!, mbona sasa ndio umemharibia?. Hata kama ilikuwa iwe hivyo kiukweli, sasa umeisha mharibia!, all and all, japo ile ya Katto ni kweli, huu ni uongo na uzushi tuu!
Kwa nini umenitag mimi tuu?!, kama uongo huu ungekuwa kweli, na ingekuwa na mimi ni mtu wa kule, si ungeniponza bure kuonekana kama ni mimi ndie navujisha?!.

P
 
Icho cheo apewe huyu mwamba hakika hawata jutia
images (30).jpeg
 
Back
Top Bottom