FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,217
- 123,064
asiyejuwa=asiyejua
Sema mara tatu kwa sauti "asiyejua". Jibu utalopata fanya kuwa umejifunza kitu kipya kupitia darsa la FaizaFoxy na iwe siri yako usimwambie mtu.
asiyejuwa=asiyejua
wapi wewe.. hapa nimekushika.Sema mara tatu kwa sauti "asiyejua". Jibu utalopata fanya kuwa umejifunza kitu kipya kupitia darsa la FaizaFoxy na iwe siri yako usimwambie mtu.
wapi wewe.. hapa nimekushika.
![]()
![]()
![]()
![]()
Mbinafsi sana huyu kiongozi, sioni kama ana iq ya kumzidi teacher jk NyerereView attachment 334385 View attachment 334386 Ongeza wa kwako unaowajua
hujuwi=hujui
haya na hapa pambana tena..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hivi upo darasa la ngapi?
Sema mara tatu kwa sauti "hujui". Jibu utalopata fanya kuwa umejifunza kitu kipya kupitia darsa la FaizaFoxy na iwe siri yako usimwambie mtu.
darsa=darasa
Una IQ ya samaki ikiwa haujuwi tofauti ya darsa na darasa.
Kuwa na IQ kubwa sio ishu, je amesaidia vipi kuondoa umasikini katika nchi yake? je amesaidia vipi maendeleo ya bara la africa?you can not escape from the reality .. fact always remain to be a fact even when you enduce argument
umeamua kumtolea uvivu? ndio maana hata akigombea uenyekiti wa mtaa hapati!How comes a grown up of his age avae KK!Gwiji la mitandao Afrika. Zee linalovaa KK. Bingwa wa kupiga mapicha na le totoz. Lina IQ kubwa kupita ya samaki.
nmetokea kukupenda bibi naomba uwe mpenzi wangu ili unifundishe kiswahili fasihi
nasoma darasa la 4 ila naomba tufanye kama yule bibi wa MaguHaya nimekubali, kuanzia leo wewe nipende tu.
Hivi unasoma darasa la ngapi?
nasoma darasa la 4 ila naomba tufanye kama yule bibi wa Magu
Kijana amekudatisha, angalia asije zimia ukimpa mambo ya wakubwaBibi yake Magufuli kafanya nini tena?
Hebu fanya heshima kwa Rais.
Nimesikitika tuSwali langu kwanini anaitisha uchaguzi wakati anajua matokeo?
haya bibi mpenzi wanguBibi yake Magufuli kafanya nini tena?
Hebu fanya heshima kwa Rais.