Mnatufikiriaje jamani

Hivi kwanini inakuwaga ngumu kwa msichana kutongoza mwanaume!

Ni desturi iliyojiweka kwamba mwanaume tu ndo aanze kwani huwa mnatufikiriaje nyie wanaume mkifatwa na njisia ya kike?
Mi hata ukianza kunitongoza leo!! Ntafurahi sana wala sitakufikiria lolote kabisaaa... Bora usianze baby nataka touch sreen, mara ooh nataka flat sreen 42 inch nk. Sasa hapo ntakufikiria kitu.
 
Back
Top Bottom