Wakizaa watoto mazezeta wanaanza kumlaumu Mungu,tatizo ulimwengu wa giza haeaujui vema.Heshima Mkuu!
Nina majibu ya hovyo sana.Kwakuwa umetupa tuchague jibu sahihi basi jibu langu ni namba 2 (Ujinga).Pia namba 3 (Ulimbukeni) nalo ni jibu zuri.
Mwanamke timamu na mwenye hofu ya Mungu kamwe hawezi kufanya uchafu wa namna hii.Iwe kwa kuiweka mtandaoni au hata kuihifadhi,Kwani ili iweje?.
Pia ni kutomlindia faragha kiumbe aliyeko tumboni.I believe in 100% kuwa aliyepigwa hiyo picha asingejisikia vyema kama angekuja gundua baadaye ukubwani kama Mama yake angeupiga ujauzito wake picha kama yeye alivyofanya.
Ninajisikia uchungu mno.Niishie hapa.
KAJIPAKA ASALI HUYO!Sijui ndio yeye maana mafuta aliyojimwagia sio kabisa
Mara nyingi ujinga au upumbavu aufanyao mwanamke aliye katika mahusiano inatokana na msimamo au miongozo ya mwanamume aliye nae!Heshima Mkuu!
Nina majibu ya hovyo sana.Kwakuwa umetupa tuchague jibu sahihi basi jibu langu ni namba 2 (Ujinga).Pia namba 3 (Ulimbukeni) nalo ni jibu zuri.
Mwanamke timamu na mwenye hofu ya Mungu kamwe hawezi kufanya uchafu wa namna hii.Iwe kwa kuiweka mtandaoni au hata kuihifadhi,Kwani ili iweje?.
Pia ni kutomlindia faragha kiumbe aliyeko tumboni.I believe in 100% kuwa aliyepigwa hiyo picha asingejisikia vyema kama angekuja gundua baadaye ukubwani kama Mama yake angeupiga ujauzito wake picha kama yeye alivyofanya.
Ninajisikia uchungu mno.Niishie hapa.
View attachment 504665 View attachment 504648
Kumbe huyu ni mwanamuziki linah daah hii mimba imefanyiwa showoff za kufuruView attachment 504675