Ohoooo!!!
Ni mwanamke mwenye mwenye umri kati ya miaka 37-40, mzuri wa sura shepu iliyogawanyika vizuri kiuno kilipo kinajulikana, msafi mcheshi.
Kilichonisukuma kumuandika ni hivi karibuni mume wake waliyezaa nae watoto watatu kumuacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine ambaye kwa kuangalia tu amfikii mama watatu hata kwa ukucha, tena mbaya zaidi huyu mwanamama alibadili dini ili afunge ndoa na huyu bwana x lakini akaambulia patupu.
Chakushangaza mwanamke mupya ndoa imetangazwa ndani ya miezi mitatu tena na kufungwa kwa bwembwe zote na mwanaume alivyomshenzi anagawa DVD ya harusi kwa kwa majirani maana walifungia mkoani ninachojiuliza mwanamama wa watu alikuwa na kasoro gani au ndumba.
Ni mwanamke mwenye mwenye umri kati ya miaka 37-40, mzuri wa sura shepu iliyogawanyika vizuri kiuno kilipo kinajulikana, msafi mcheshi.
Kilichonisukuma kumuandika ni hivi karibuni mume wake waliyezaa nae watoto watatu kumuacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine ambaye kwa kuangalia tu amfikii mama watatu hata kwa ukucha, tena mbaya zaidi huyu mwanamama alibadili dini ili afunge ndoa na huyu bwana x lakini akaambulia patupu.
Chakushangaza mwanamke mupya ndoa imetangazwa ndani ya miezi mitatu tena na kufungwa kwa bwembwe zote na mwanaume alivyomshenzi anagawa DVD ya harusi kwa kwa majirani maana walifungia mkoani ninachojiuliza mwanamama wa watu alikuwa na kasoro gani au ndumba.
Ni mwanamke mwenye mwenye umri kati ya miaka 37-40, mzuri wa sura shepu iliyogawanyika vizuri kiuno kilipo kinajulikana, msafi mcheshi.
Kilichonisukuma kumuandika ni hivi karibuni mume wake waliyezaa nae watoto watatu kumuacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine ambaye kwa kuangalia tu amfikii mama watatu hata kwa ukucha, tena mbaya zaidi huyu mwanamama alibadili dini ili afunge ndoa na huyu bwana x lakini akaambulia patupu.
Chakushangaza mwanamke mupya ndoa imetangazwa ndani ya miezi mitatu tena na kufungwa kwa bwembwe zote na mwanaume alivyomshenzi anagawa DVD ya harusi kwa kwa majirani maana walifungia mkoani ninachojiuliza mwanamama wa watu alikuwa na kasoro gani au ndumba.
Wala usijidanganye hakuna kiumbe mkamilifu Duniani, nyie mnayajua mabaya yetu sie wanawake tu ya kwenu aah hamyaoni eeh!!?kuzaliwa mwanamke ni kasoro tosha,twaish nanyi kwa kuwavumilia mapungufu yenu ya asili,wasio wavumilivu ndo kama ivo,kua uayone.
Hebu kwanza nimeze mate nitarudi kuchangia mada.
Mwanamke dela/dera kanga umbea cha kukalia sharti uwe nacho
Pole kwa kuachwa jikaze utashinda.Ni mwanamke mwenye mwenye umri kati ya miaka 37-40, mzuri wa sura shepu iliyogawanyika vizuri kiuno kilipo kinajulikana, msafi mcheshi.
Kilichonisukuma kumuandika ni hivi karibuni mume wake waliyezaa nae watoto watatu kumuacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine ambaye kwa kuangalia tu amfikii mama watatu hata kwa ukucha, tena mbaya zaidi huyu mwanamama alibadili dini ili afunge ndoa na huyu bwana x lakini akaambulia patupu.
Chakushangaza mwanamke mupya ndoa imetangazwa ndani ya miezi mitatu tena na kufungwa kwa bwembwe zote na mwanaume alivyomshenzi anagawa DVD ya harusi kwa kwa majirani maana walifungia mkoani ninachojiuliza mwanamama wa watu alikuwa na kasoro gani au ndumba.
AiseeeHebu kwanza nimeze mate nitarudi kuchangia mada.
Mwanamke dela/dera kanga umbea cha kukalia sharti uwe nacho
wewe sio wa kukosea jina langu.
Dunia inakwisha mzeeAiseee
Mwanamke anamsifia mwenzie maaajabu ya dunia, mshepu umegawanyika duh
Rekebisha kabisa.![]()
![]()
kumradhi mambo ya touch tena baba ngoja nirekebishe
Sio Ndumba mbona haujaweka sababu ya kuamua kumuacha huyo Mwanamke wa ZamaniNi mwanamke mwenye mwenye umri kati ya miaka 37-40, mzuri wa sura shepu iliyogawanyika vizuri kiuno kilipo kinajulikana, msafi mcheshi.
Kilichonisukuma kumuandika ni hivi karibuni mume wake waliyezaa nae watoto watatu kumuacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine ambaye kwa kuangalia tu amfikii mama watatu hata kwa ukucha, tena mbaya zaidi huyu mwanamama alibadili dini ili afunge ndoa na huyu bwana x lakini akaambulia patupu.
Chakushangaza mwanamke mupya ndoa imetangazwa ndani ya miezi mitatu tena na kufungwa kwa bwembwe zote na mwanaume alivyomshenzi anagawa DVD ya harusi kwa kwa majirani maana walifungia mkoani ninachojiuliza mwanamama wa watu alikuwa na kasoro gani au ndumba.
Acha tu kwahyo huyo aliolewa na mbaya kuliko aliekuwepo?Dunia inakwisha mzee
Labda wanajua ukishakuwa na mshepu ukiogawika basi ndoa tayari inadumu.Acha tu kwahyo huyo aliolewa na mbaya kuliko aliekuwepo?
Nahis anaona ndoa ni kuwa na mshepu tu enhee
nimependa hapo tu kwenye rangi nyekundu,ila kasoro za mwanamke zilianzia bustanini.Wala usijidanganye hakuna kiumbe mkamilifu Duniani, nyie mnayajua mabaya yetu sie wanawake tu ya kwenu aah hamyaoni eeh!!?
Sasa kama kuzaliwa mwanamke mwanamke ni kasoro tosha kwann hakwenda kumuoa mwanaume mwenzie ili aziepuke hizo kasoro?