Mliokunywa mkojo umewasaidia kuwasahau wapenzi wenu?

Chumvi sijui mshumaa vyote ni upuuzi wanafanya ibada wasizozijua kwa kudanganywa wanaleta mafanikio maishan mwao kumbe wanajididimiza.
Umewaza mbali sana kwa jicho la tatu tena me sjawahi kuyawazia haya kuna chumvi pia hadi nahisi ni ushirikina sasa lakini wajinga ndio waliwao
 
Chumvi sijui mshumaa vyote ni upuuzi wanafanya ibada wasizozijua kwa kudanganywa wanaleta mafanikio maishan mwao kumbe wanajididimiza.
Aiseee wewe umenifungua mno macho me sikuwahi kuwaza haya japo akili yangu kwa mbaali na zile feedback nikaanza kuhisi n kweli zinasaidia
 
Insta uongo mwingi sana. Love wangu.

Kuna watu wanatumia mitandao ya kijamii Kwa malengo tofauti
Nimeanza kukijua hilo honey wangu lakini me hua nasoma mengine nayaacha kama yalivyo sasa kama haya ya mikojo ndio hua sikuwah hata kuwaza kujaribu japo feedback zao wanakwambia zinajibu
 
Kule kuna wapambe na fake accounts za kutosha,wapo standby muda wote kulinda maslah ya boss wao, siku ukitapeliwa na mfanyabiashara wa insta na ukaenda lalamika kwa page yake anakublock ukienda lalamika kwa mwingine,wapambe wanaibuka na kuanza mshambulia aliyetapeliwa kwamba ni muongo anataka haribu biashara ya mwenzie.
Aiseee wewe umenifungua mno macho me sikuwahi kuwaza haya japo akili yangu kwa mbaali na zile feedback nikaanza kuhisi n kweli zinasaidia
 
Nifundishen jaman, ninywe mkojo wahuyu ninayetaka kumsahau au ninywe wangu?? Au wa ng'ombe?? Nimeiona live India watu wakiunywa mkojo lakini wa ng'ombe sasa ninywe upi nimsahau ninayemchukia??
 
Nimeanza kukijua hilo honey wangu lakini me hua nasoma mengine nayaacha kama yalivyo sasa kama haya ya mikojo ndio hua sikuwah hata kuwaza kujaribu japo feedback zao wanakwambia zinajibu
Ndio tuwe makini Kwa kile tunachokiona kwenye mitandao ya kijamii mpenzi wangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom