Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,565
- 116,224
Nenda polisi
Wewe una psychological problems...!!!Nenda polisi
Wewe una psychological problems...!!!Huyu Bw. Bernad Mtorela ambaye anajiita Deogratius Kisandu, tayari kisha enda kwa Mkuu wa Shule ya Magu Sekondari kumuomba amlinde pale mimi nitakapoanza kazi ya kisheria, na pia wameenda shule moja ya msingi hapo magu na kufoji TSM 9 iliionekane ametoka nalo jina hili shule ya msingi na wamemkubalia wa kishirikiana na Afisa elimu na mmoja wa maafisa utumishi hapo Magu wilayani. Pia ana kitambulisho changu cha Ubatizo alichokiiba kupitia mzazi mwenzangu mmoja, kitambulisho hicho nilipewa na Padre Kabu hapo Magu mwaka 1998 nikiwa najiaandaa kuelekea utawani baada ya kukatisha masomo yangu magu sekondari mwaka 1998 januari nikiwa kidato cha pili.
Pia sitakubali kuombwa msamaha bali msamaha unaombwa mahakamani "Defarmation case"
Pia amefoji mambo mengi sana kuhusu mimi ikiwemo kuiba nakala ya usajili wa kampuni yangu ya Teachers and Students Forums-Tanzania.
Pia usiwasikilize ndugu zangu hata mmoja, wengi wako corrupted kwenye hili swala.
Nakushauri mkuu wa wilaya fanyia kazi hili, utanikumbuka.
Deogratius Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
SawaWewe una psychological problems...!!!
Nae kachanganyikiwa kama huyu??Kisandurapa
Hivi samahani kidogo we kijana, hebu nambie umri wako, elimu yako, kazi/shughuli unayofanya na uraia wako ili tukusaidie maana unapata taabu sana!Huyu Bw. Bernad Mtorela ambaye anajiita Deogratius Kisandu, tayari kisha enda kwa Mkuu wa Shule ya Magu Sekondari kumuomba amlinde pale mimi nitakapoanza kazi ya kisheria, na pia wameenda shule moja ya msingi hapo magu na kufoji TSM 9 iliionekane ametoka nalo jina hili shule ya msingi na wamemkubalia wa kishirikiana na Afisa elimu na mmoja wa maafisa utumishi hapo Magu wilayani. Pia ana kitambulisho changu cha Ubatizo alichokiiba kupitia mzazi mwenzangu mmoja, kitambulisho hicho nilipewa na Padre Kabu hapo Magu mwaka 1998 nikiwa najiaandaa kuelekea utawani baada ya kukatisha masomo yangu magu sekondari mwaka 1998 januari nikiwa kidato cha pili.
Pia sitakubali kuombwa msamaha bali msamaha unaombwa mahakamani "Defarmation case"
Pia amefoji mambo mengi sana kuhusu mimi ikiwemo kuiba nakala ya usajili wa kampuni yangu ya Teachers and Students Forums-Tanzania.
Pia usiwasikilize ndugu zangu hata mmoja, wengi wako corrupted kwenye hili swala.
Nakushauri mkuu wa wilaya fanyia kazi hili, utanikumbuka.
Deogratius Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
Huyu Bw. Bernad Mtorela ambaye anajiita Deogratius Kisandu, tayari kisha enda kwa Mkuu wa Shule ya Magu Sekondari kumuomba amlinde pale mimi nitakapoanza kazi ya kisheria, na pia wameenda shule moja ya msingi hapo magu na kufoji TSM 9 iliionekane ametoka nalo jina hili shule ya msingi na wamemkubalia wa kishirikiana na Afisa elimu na mmoja wa maafisa utumishi hapo Magu wilayani. Pia ana kitambulisho changu cha Ubatizo alichokiiba kupitia mzazi mwenzangu mmoja, kitambulisho hicho nilipewa na Padre Kabu hapo Magu mwaka 1998 nikiwa najiaandaa kuelekea utawani baada ya kukatisha masomo yangu magu sekondari mwaka 1998 januari nikiwa kidato cha pili.
Pia sitakubali kuombwa msamaha bali msamaha unaombwa mahakamani "Defarmation case"
Pia amefoji mambo mengi sana kuhusu mimi ikiwemo kuiba nakala ya usajili wa kampuni yangu ya Teachers and Students Forums-Tanzania.
Pia usiwasikilize ndugu zangu hata mmoja, wengi wako corrupted kwenye hili swala.
Nakushauri mkuu wa wilaya fanyia kazi hili, utanikumbuka.
Deogratius Kisandu
Mtemi Kiongozi wa chama tarajiwa cha ACA.
Kudadeki
Kisandu ameisoma mpaka amedata sasa![]()
![]()