Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,886
Sisi tunaangalia theme ya andiko. Lengo la andiko ni kumchafua mtu.Mkuu kwani jamaa kasema DC hafai?mim mwenyewe nampata sana huyu Dada....ntafunguka kesho
Wewe unamfahamu. Wengine unadhani wanaweza ondoka na maana gani. Tunatakiwa kuwa positive nchi yetu bado changa sana na maskini.