Mkurungenzi Wa shule Ya Mus'ab,Tanga akiuka maagizo ya Wizara

Kuna shule hazina smile kwa watoto vilaza. Shule za serikali watoto wengi humaliza shule ya msingi bila kujua kusoma, kuandika wala kuhesabu na hilo wanaona sawa. Shule binafsi hazitaki kuzalisha vilaza. Uliza wazazi waliokua wanalalamika kuhusu Al-Muntazir schools wameishia wapi.
Kwa hiyo wewe,unafurahi hawa watoto,wawe watoto wa mitaani,tutengeneze taifa watoto wasio na elimu.
Mtoto kutoelewa darasani ni kosa la uongozi wa shule inayohusika,kutosimamia elimu,ima kwa kuajiri waalimu wasio na sifa au shule haina vitendea kazi vya kutosha au Mkurugenzi hafanyi vilao na wazazi kujuwa maendeleo ya shule.
 
Swla la krudishw mwnafunz km yk chni ykiwango walchojiwkea ni saw km mzz unaona hauridhki na uwamuz huo muondoe mwanao kwn kumuondo cbur ama knatkiw hla?
 
Hiyo toto yako hazimo kichwani peleka ikasomee u-diamond ama u-ray c darasani imeshindwa usitafute huruma hapa.
Hatutaki elimu ya bora liende na ya kwenye makaratasi kuwa watoto wengi wako shule wakati wanavutwa kama guta.
 
Kwa hiyo wewe,unafurahi hawa watoto,wawe watoto wa mitaani,tutengeneze taifa watoto wasio na elimu.
Mtoto kutoelewa darasani ni kosa la uongozi wa shule inayohusika,kutosimamia elimu,ima kwa kuajiri waalimu wasio na sifa au shule haina vitendea kazi vya kutosha au Mkurugenzi hafanyi vilao na wazazi kujuwa maendeleo ya shule.
Ndugu, kama shule binafsi hairidhiki na uelewa wa mtoto na wakamtaka arudie darasa au tafute shule nyingine, ni jukumu la mzazi kuchagua mojawapo.
 
Tusilee ujinga,kama mtoto ni kilaza mpeleke shule za wizara.Zipo chungu nzima.
Hapa natoa maoni kwa wageni kutofuata sheria ya nchi kinachotakiwa huyu mkurugenzi mgeni,lazima atii mamlaka.Ikiwa wizara imeeka utaratibu lazima,kila aliyechini ya wizara husika afuate utaratibu huo.
 
Itakuwaje watoto wawe kilaza,wakati walianza shule hii hii,kwa kufanya mitihani toka darasa la chekechea,na kote huko anapasi,leo kutoka la sita kwenda la saba,ndio watoto hawa wawe vilaza,kwa ukilaza ni wa shule sio wa wanafunzi.Wizara zifuatilie shule hizi.
Kama sio chuki binafsi, basi una tatizo ndugu.
 
Kwani hakuna shule nyingine za kuwapeleka watoto wenu?

Mkurugenzi wa Shule ya Mus'ab English Medium,akiuka maagizo ya Wizara ya Elimu,ya kutorudisha wanafunzi waliopata wastani chini ya 50,wa darasa la sita kwenda la saba,pamoja na madarasa mengine.

Wazazi wengi waliomfuata kuhusiana na kurudishwa darasa,hataki kuwasikiliza,mkurugenzi huyu ambaye sio mtanzania,anaitumia nafasi yake kuwakomoa wazazi,baada ya kupandisha ya ada kwa kiwango ambacho wazazi wengi hawakimudu,na wakati shule hiyo iko chini ya shirika,la African Muslim Agency,ambalo limeandikishwa Tanzania,likiwa kama shirika la misaada.

Twaomba Wizara ya Elimu,iwasaidie wazazi hawa,wanaohusika tunawaomba wafuatilie suala husika.
 
Acha siasa kwenye elimu fisi wewe muache huyo mkurugezi afanye kazi yake hawezi kupitisha makapi hiyo siyo shule ya kata mtoto wako umemuona akili hana mpeleke magufuli secondary school
Mwanagu umemfundisha miaka yote hadi darasa la sita hujambadilisha ukimrudisha kwa mwaka mmoja atabadilika? Then ada yote mlikua mnaikusanya ya nini?
 
Mwanagu umemfundisha miaka yote hadi darasa la sita hujambadilisha ukimrudisha kwa mwaka mmoja atabadilika? Then ada yote mlikua mnaikusanya ya nini?
Hawa wanaojibu kiurahisi rahisi,itakuwa ndio hao wahusika na hizi shule au waalimu wa hizi shule,wasio na vigezo vya kufundisha.umemjibu vizuri sana,umemjibu kielimu.
 
Acha ujinga,ikiwa yeye Mkurugenzi,ameshindwa kuwasimamia waalimu wake mpaka,wanafunzi kuwenza kufikia huo wastani.
sasa kama mwanao hafundishiki unataka afanywe nini,,,, kama amefail acha arudie huwez baasi mpeleke Istiqaama,,,, naona unapiga kelele tu humu
 
Itakuwaje watoto wawe kilaza,wakati walianza shule hii hii,kwa kufanya mitihani toka darasa la chekechea,na kote huko anapasi,leo kutoka la sita kwenda la saba,ndio watoto hawa wawe vilaza,kwa ukilaza ni wa shule sio wa wanafunzi.Wizara zifuatilie shule hizi.
mitoto mingine minunda hata uifundishe vipi haielewi bora urudishwe tu
 
Wizara isimamie sheria mama kama mitaala ya shule nk shule nazo ziruhusiwe kuwa na miongozo yake kama lugha ya kufundishia wastani wa shule nk mzazi kubaliana na taratibu za shule if yes peleka mwanzo if no peleka mwanao shule husika tusichanganye mambo ya kunywa konyagi kwa big g badala ya nyama choma
 
Back
Top Bottom