Mkurugenzi wa NIDA abadilishwe ili kuongeza mapato na ufanisi ili ijitegemee na kupeleka mapato serikalini kama TRA

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,499
8,488
Ni wakati sasa mkurugenzi wa NIDA abadilishwe.

Ni wakati wa NIDA ijitegemee yenyewe isipewe fedha na serikali tena

Kama NIDA ingepata kiongozi mbunifu ingeingiza mapato mengi sana kama wafanyavyo TRA.

Serikali yetu ifanye yafuatayo:
Mkurugenzi abadilishwe.

Mkurugenzi mpya imarisha kitengo cha TEHAMA vitambulisho vitolewe ndani ya wiki moja na vilipiwe. Fedha zikusanywe.

Watu wanaotaka kubadilisha taarifa zao za vitambulisho vyao wabadilishe kwa njia ya mtandao na mchakato uchukue siku mbili. Kusanya fedha hizo.

Huduma zote zilipiwe kwani ni watanzania wengi sana wanaohitaji vitambulisho.

Kama kazi ni ngumu NIDA iwe chini ya ofisi za uhamiaji wanaohusika na kutoa passport za kusafiria.

Watu walio andika kuhusu NIDA hapa jukwaani.

Soma hapa: Vitambulisho vya Taifa: Changamoto zinazowakabili wananchi na mwitiko wa Mamlaka (NIDA)

Soma hapa: SoC04 - Suluhisho la changamoto ya upatikanaji wa kitambulisho cha taifa

Soma hapa: Rais Samia, kero ya upatikanaji wa Kitambulisho cha NIDA imenifika shingoni!

Soma hapa: SoC03 - Kitambulisho cha Taifa kiboreshwe ili kuendana na ulimwengu wa kidigitali

Soma hapa: Vitambulisho vya Taifa: Changamoto zinazowakabili wananchi na mwitiko wa Mamlaka (NIDA)

Soma hapa: NHIF: Tutaanza kutambua Wanachama wetu kwa Kitambulisho cha NIDA
 
Ni wakati sasa mkurugenzi wa NIDA abadilishwe.

Ni wakati wa NIDA ijitegemee yenyewe isipewe fedha na serikali tena

Kama NIDA ingepata kiongozi mbunifu ingeingiza mapato mengi sana kama wafanyavyo TRA.

Serikali yetu ifanye yafuatayo:
Mkurugenzi abadilishwe.

Mkurugenzi mpya imarisha kitengo cha TEHAMA vitambulisho vitolewe ndani ya wiki moja na vilipiwe. Fedha zikusanywe.

Watu wanaotaka kubadilisha taarifa zao za vitambulisho vyao wabadilishe kwa njia ya mtandao na mchakato uchukue siku mbili. Kusanya fedha hizo.

Huduma zote zilipiwe kwani ni watanzania wengi sana wanaohitaji vitambulisho.

Kama kazi ni ngumu NIDA iwe chini ya ofisi za uhamiaji wanaohusika na kutoa passport za kusafiria.
Taarifa ukosee wewe halafu mimi ndio nilipie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wakati sasa mkurugenzi wa NIDA abadilishwe.

Ni wakati wa NIDA ijitegemee yenyewe isipewe fedha na serikali tena

Kama NIDA ingepata kiongozi mbunifu ingeingiza mapato mengi sana kama wafanyavyo TRA.

Serikali yetu ifanye yafuatayo:
Mkurugenzi abadilishwe.

Mkurugenzi mpya imarisha kitengo cha TEHAMA vitambulisho vitolewe ndani ya wiki moja na vilipiwe. Fedha zikusanywe.

Watu wanaotaka kubadilisha taarifa zao za vitambulisho vyao wabadilishe kwa njia ya mtandao na mchakato uchukue siku mbili. Kusanya fedha hizo.

Huduma zote zilipiwe kwani ni watanzania wengi sana wanaohitaji vitambulisho.

Kama kazi ni ngumu NIDA iwe chini ya ofisi za uhamiaji wanaohusika na kutoa passport za kusafiria.
Hii taasisi inachangamoto sana nataka kurudia majina yangu ya shule yaliyo kwenye vyeti ni usumbufu wanasema niende mpaka dar es salaam kwani huwa hawawezi delegate madaraka mikoni kila kitu dar es salaam.
 
Nchi nyingi Duniani ID CARDS huwa ni bure na hata ukipoteza unapewa bure tu.
Nchi nyingi unalipia. Labda huko uharabuni wenye utajiri wa mafuta labda ndio bure?
lakini siwezi kulaumu hapa kuwa bure kwa sababu ya umaskini wetu na ni mara ya kwanza. Kungekuwa na gharama za kujiandikisha ingekuwa mbinde kwa watu kutoa ushirikiano.
Na pia inawezekana kuna pesa za misaada kwenye hili zoezi
 
Nchi nyingi unalipia. Labda huko uharabuni wenye utajiri wa mafuta labda ndio bure?
lakini siwezi kulaumu hapa kuwa bure kwa sababu ya umaskini wetu na ni mara ya kwanza. Kungekuwa na gharama za kujiandikisha ingekuwa mbinde kwa watu kutoa ushirikiano.
Na pia inawezekana kuna pesa za misaada kwenye hili zoezi
Mkuu umeshapona ile Schizophrenia?
 
Ni wakati sasa mkurugenzi wa NIDA abadilishwe.

Ni wakati wa NIDA ijitegemee yenyewe isipewe fedha na serikali tena

Kama NIDA ingepata kiongozi mbunifu ingeingiza mapato mengi sana kama wafanyavyo TRA.

Serikali yetu ifanye yafuatayo:
Mkurugenzi abadilishwe.

Mkurugenzi mpya imarisha kitengo cha TEHAMA vitambulisho vitolewe ndani ya wiki moja na vilipiwe. Fedha zikusanywe.

Watu wanaotaka kubadilisha taarifa zao za vitambulisho vyao wabadilishe kwa njia ya mtandao na mchakato uchukue siku mbili. Kusanya fedha hizo.

Huduma zote zilipiwe kwani ni watanzania wengi sana wanaohitaji vitambulisho.

Kama kazi ni ngumu NIDA iwe chini ya ofisi za uhamiaji wanaohusika na kutoa passport za kusafiria.
Hivi sikuhizi kutoa huduma kwa wananchi nako iwe ni biashara.
Tuoneshe kwanza dhima ya kuanzishwa kwa NIDA.
 
Kuna Thread uliianzisha inayokuhusu matatizo unayoyapata huko Uingereza
Mbona nilichoandika kiko wazi hapa UK. Lakini kinachonisikitisha kuna wenzetu wana support na wamekuwa mstari wa mbele kutengeza matukio ya uongo. Kutoka na tamaa zao za ahadi za ku benefit. Lakini watakao lipa malipo ya hizi tamaa zao ni wajukuu.
Na hao watengeneza matukio ya uongo ndio hao walikuwa wanasema hakuna kitu kama hicho.
Pesa ni tamu lakini lazima tupige mstari la sivyo tutaendelea kujimaliza wenyewe na vizazi vijavyo kwa tamaa za kuendeshea kuendesha gari zuri na kadhalika.
 
Kuna ofisi wana huduma mbovu mbovu, ila NIDA imezidi.....mizungukooo miiingiii hata isio na tija

Mgonjwa anaweza kata moto kisa tu kadi ya nida, ovyo mno
 
Noma sana mkuu umewaza kupitia kiungo gani cha mwili,. Yani bado mnakaa kuwaza ni namna gani mpate ulaji kwani kodi, tozo, ushuru na rushwa haviwatoshi.
 
Mtoa mada inawezekana una ajenda binafsi, kwanini umekumbilia abadilishiwe baadala ya kutoa ushauri namna ya kuboresha huduma?. Inawezekana ukawa mmoja ya waliokataliwa kubadilisha taarifa kutoka zile za kweli kwenda za uongo kwa manufaa yako binafsi au mrundi uliekataliwa kupewa kitambulisho cha uraia.
Kila kitu kinaongozwa na Sheria na kanuni. Hivyo usome kwanza Sheria na kanuni ndio uje na hoja sio unakurupuka
 
Back
Top Bottom