Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,499
- 8,488
Ni wakati sasa mkurugenzi wa NIDA abadilishwe.
Ni wakati wa NIDA ijitegemee yenyewe isipewe fedha na serikali tena
Kama NIDA ingepata kiongozi mbunifu ingeingiza mapato mengi sana kama wafanyavyo TRA.
Serikali yetu ifanye yafuatayo:
Mkurugenzi abadilishwe.
Mkurugenzi mpya imarisha kitengo cha TEHAMA vitambulisho vitolewe ndani ya wiki moja na vilipiwe. Fedha zikusanywe.
Watu wanaotaka kubadilisha taarifa zao za vitambulisho vyao wabadilishe kwa njia ya mtandao na mchakato uchukue siku mbili. Kusanya fedha hizo.
Huduma zote zilipiwe kwani ni watanzania wengi sana wanaohitaji vitambulisho.
Kama kazi ni ngumu NIDA iwe chini ya ofisi za uhamiaji wanaohusika na kutoa passport za kusafiria.
Watu walio andika kuhusu NIDA hapa jukwaani.
Soma hapa: Vitambulisho vya Taifa: Changamoto zinazowakabili wananchi na mwitiko wa Mamlaka (NIDA)
Soma hapa: SoC04 - Suluhisho la changamoto ya upatikanaji wa kitambulisho cha taifa
Soma hapa: Rais Samia, kero ya upatikanaji wa Kitambulisho cha NIDA imenifika shingoni!
Soma hapa: SoC03 - Kitambulisho cha Taifa kiboreshwe ili kuendana na ulimwengu wa kidigitali
Soma hapa: Vitambulisho vya Taifa: Changamoto zinazowakabili wananchi na mwitiko wa Mamlaka (NIDA)
Soma hapa: NHIF: Tutaanza kutambua Wanachama wetu kwa Kitambulisho cha NIDA
Ni wakati wa NIDA ijitegemee yenyewe isipewe fedha na serikali tena
Kama NIDA ingepata kiongozi mbunifu ingeingiza mapato mengi sana kama wafanyavyo TRA.
Serikali yetu ifanye yafuatayo:
Mkurugenzi abadilishwe.
Mkurugenzi mpya imarisha kitengo cha TEHAMA vitambulisho vitolewe ndani ya wiki moja na vilipiwe. Fedha zikusanywe.
Watu wanaotaka kubadilisha taarifa zao za vitambulisho vyao wabadilishe kwa njia ya mtandao na mchakato uchukue siku mbili. Kusanya fedha hizo.
Huduma zote zilipiwe kwani ni watanzania wengi sana wanaohitaji vitambulisho.
Kama kazi ni ngumu NIDA iwe chini ya ofisi za uhamiaji wanaohusika na kutoa passport za kusafiria.
Watu walio andika kuhusu NIDA hapa jukwaani.
Soma hapa: Vitambulisho vya Taifa: Changamoto zinazowakabili wananchi na mwitiko wa Mamlaka (NIDA)
Soma hapa: SoC04 - Suluhisho la changamoto ya upatikanaji wa kitambulisho cha taifa
Soma hapa: Rais Samia, kero ya upatikanaji wa Kitambulisho cha NIDA imenifika shingoni!
Soma hapa: SoC03 - Kitambulisho cha Taifa kiboreshwe ili kuendana na ulimwengu wa kidigitali
Soma hapa: Vitambulisho vya Taifa: Changamoto zinazowakabili wananchi na mwitiko wa Mamlaka (NIDA)
Soma hapa: NHIF: Tutaanza kutambua Wanachama wetu kwa Kitambulisho cha NIDA