Mkurugenzi (H) Monduli Mtendaji huyu anakutega

Mtu kuiba kupitia serikali hiyo hiyo tena wwazi wazi sidhana kama in excuse huyo ni halali siyo kumfuta tu bali hata kumfikisha mahakamani akajibu kosa la wizi.
 
Mwana kwetu unaweza kufuatilia kwa nini hakuja wakati ulisema yupo around?
 
Na kwa sasa nini kinaendelea mkuu kwani huo ugomvi hapo unawagusa wengi; whats next step?
 
Bora amehairisha ili aende eneo la tukio akiwa amekusanya taarifa za kutosha
 
Ila tayari nilishanusa upendeleo kwani principally ukitaka ku resolve conflict lazima pande zote zinazozana zikae meza moja then awepo mediator.
Nashangaa hakuwa amewaita walalamikaji hata mmoja sielewi alikuwa anatumia miujiza gani kufikia muafaka
 
Ila tayari nilishanusa upendeleo kwani principally ukitaka ku resolve conflict lazima pande zote zinazozana zikae meza moja then awepo mediator.
Nashangaa hakuwa amewaita walalamikaji hata mmoja sielewi alikuwa anatumia miujiza gani kufikia muafaka

Ukiona hivyo ujue tayari alikuwa na jina la mshindi mfukoni:rolleyes:
 
Back
Top Bottom