Mkinga: Mkapa alimtisha Magufuli IKULU

Watanzania tunapenda sana hizi hearsay and mere talk!

Watu wanaweza kuamini yule wa hearsay than from the horse's mouth!


Hivi vitu Mimi vinanishangaza sana sijui kwanini watu wengi wanakuwa wepesi kuamini kila taarifa inayosemwa.

Watu hawachuji taarifa wanaamini tu kwa sababu kasema Mkinga ambaye hakuwepo ikulu na kikao cha JPM na Mkapa kilikuwa cha siri yeye Mkinga kajuaje,kama kweli taarifa ya Mkinga ni kweli basi ikulu ina tatizo
 
Mkinga ni mganga njaa,never trust him
Hoja ya msingi ya Mkinga ni kwamba tatizo la bandari tulilo nalo sasa lilianzishwa na UTAWALA WA MKAPA. Kwani agent wa dola wa bandari(NASACO) Ilivunjwa na kuuawa na utawala wa Mkapa. Kadiri yake bandarini sasa hakuna refa.
 
Kwanini TRA wasianzishe benk yao ya kukusanya mapato yote kuanzi machinga mpaka muuza dagaa ? Kwanini wanatumia bank za marafiki? Ianzishwe bank ya tra kwa ajiri ya kukusanya kodi
 
Magu ni mtiifu kupita kiasi kwa Mkapa!! Ameliona hilo tu? Mbona mengine hasemi? Sie tunacheki movie tu wacha mashabiki waendelee kutunga pambio za sifa!!
looser!
fault finder!
mchawi wewe!
unasubiri mtu afeli? asipofeli si utamroga?

yaani kilichokusaidia ni elimu na kujua kubofya keyboard, otherwise huna tofauti na mchawi wa mitaani

i bet, hta mahusiano yako na mkeo na rafikizo sio mazuri, unapenda kuonekana sahihi na kushindwa unatunza chuki kwenye kina cha moyo!

get life,badilika
 
Watanzania tunapenda sana hizi hearsay and mere talk!

Watu wanaweza kuamini yule wa hearsay than from the horse's mouth!
sometimes we dig reality on it ,nahii yote nikwasababu yakuwa na mfumo kuanzia juu wakuficha kila kitu na kuto hoji pale panapo kuwa na kasoro..!!!
 
Ikumbukwe kuwa Mkapa ndie aliizika rasmi NASACO wakaazisha Maersk ambayo Idd Simba alikuwa na share nyingi na motto wake akiwa Director wa kampuni! KUUA NASACO ILIKUWA MKAKATI WA KUDUMAZA UCHUMI NA MKAPA ALICHANGIA SANA
 
Dawa ya ufisadi bandarini:
(1) Kuanzisha REGULATORY AUTHORY ya bandari zote nchini. Bahati mbaya chombo hiki kinaogopwa sana na mafisadi, ndo maana wanapinga kisiwepo. Bila kuwa na agency ya dola ya kuregulate bandani nchini, juhudi zote zinazofanywa na akina Magufuli na Majaliwa zitakuwa mere cosmetic, short term solutions. Lazima kutengeneza controlling mechanism(mfumo) ya kudumu na ambayo ipo kisheria. Private Agents wanafanya biashara tu, hawawezi kulinda masilahi ya nchi zaidi ya kutafuta faida yao.
(2)Mapato/tozo yote ya serikali yakusanywe na taasisi moja ya serikali. TRA ndo wahusike kukusanya malipo/kodi/tozo yote ya serikali. Malipo yote yawe kwenye risiti moja(integrated receipt) ya TRA.
Note:TPA wasihusike kupokea malipo ya aina yoyote ile.
Kwa hapa Mdau nafikiri umenena vyema kabisa, nafikiri hapa ni kuiongezea MENO Sumatra kwani hawa jamaa ni wakweli na Bwana Kilima ni mtu hodari na mchapa kazi faida yake itaonekana haraka sana.
 
looser!
fault finder!
mchawi wewe!
unasubiri mtu afeli? asipofeli si utamroga?

yaani kilichokusaidia ni elimu na kujua kubofya keyboard, otherwise huna tofauti na mchawi wa mitaani

i bet, hta mahusiano yako na mkeo na rafikizo sio mazuri, unapenda kuonekana sahihi na kushindwa unatunza chuki kwenye kina cha moyo!

get life,badilika
Rudi barabarani utaangusha gari.
Kila mtu kahumbwa kivyake na Mwenyezi Mungu, wa msikilize anacho zungumza kama kina substance au la? Jamaa huyu amebobea sana katika nyanja za shipping - ana uzoefu mkubwa - Serikali yetu inapaswa kuchukulia seriously ushauri wake.
 
kama ni kweli huyu jamaa ni miaka 11 sasa bado anataka kutuongoza, keshamaliza ngwe yake atulie alinde heshima yake, asichafuliwe,
 
Hivi vitu Mimi vinanishangaza sana sijui kwanini watu wengi wanakuwa wepesi kuamini kila taarifa inayosemwa.

Watu hawachuji taarifa wanaamini tu kwa sababu kasema Mkinga ambaye hakuwepo ikulu na kikao cha JPM na Mkapa kilikuwa cha siri yeye Mkinga kajuaje,kama kweli taarifa ya Mkinga ni kweli basi ikulu ina tatizo

Watu wataachaje kumuamini Mkinga wakati alikodishwa na ccm kwenda kuipigia debe wakati wa kampeni. Yeye alitumika kama sehemu ya kuelezea ubaya wa Lowassa. Leo unatakaje tusimuamini mtu aliyepewa siri na serekali ya ccm ili kuhakikisha upinzani haushindi?
 
Mkinga ni mganga njaa,never trust him
Mkuu kwani amezungumza kitu gani anbacho hakina maana? Tangu NASCO ivunjwe kwa hila Taifa letu limepata faida gani! Kwa taarifa yako mambo ya wizi/ufisadi TPA na TRA ulishamiri baada ya kuzikwa kwa shirika la UMMA lililo kuwa linaratibu masuala yote ya Shipping.

Mzalendo Mkinga si mtu wa kubezwa bezwa ovyo amewahi kutembelea Bandari kubwa Duniani na kujifunza mengi, amewahi kuishi Merikani na kufanya kazi huko, msimuone kwenye TV mkadhani ni mtu wa mitaani mpiga porojo au mganga njaa, hana shida msilete mambo ya kumzulia tu.

Hakuna kitu chochote anacho shauri ambacho hakina mshiko - ni watu wenye roho ya kutu ndio watamuona mbaya
 
looser!
fault finder!
mchawi wewe!
unasubiri mtu afeli? asipofeli si utamroga?

yaani kilichokusaidia ni elimu na kujua kubofya keyboard, otherwise huna tofauti na mchawi wa mitaani

i bet, hta mahusiano yako na mkeo na rafikizo sio mazuri, unapenda kuonekana sahihi na kushindwa unatunza chuki kwenye kina cha moyo!

get life,badilika

Umemaliza? Je uliyoniandikia yanahusiana nini na alichoongea Mkinga channel ten?
 
Daaa, yanayoongelewa hapa, yani ni pasua kichwa inaonekana hali ni mbaya mpaka wanashauri eti yaliyofanyika tusameheane kwan kutumbua hayo majipu hayataisha.
........ hawa jamaa wa Clearance wamo katika kutengeneza majipu ndio maana wanaomba 'poo !'
 
Back
Top Bottom