Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,521
MC Pilipili aione hii kwenye jalada kwa ufuatiliaji dondoo hiyo ya drama.Sasa zile si drama tu kama Korean dramas mzee baba
MC Pilipili aione hii kwenye jalada kwa ufuatiliaji dondoo hiyo ya drama.Sasa zile si drama tu kama Korean dramas mzee baba
Hapo hamna ndoa hapo ni partnership. Sasa unadhani mke atakubali kubaki nyumbani? Na yeye lazima atataka kutoka na yeye afanye kazi atafute mali zake. Sasa hiyo ni ndoa au uhuni?Sio aondoke na begi la nguo, kila mtu achukue kilicho kwenye jina lake, basi.
Kama magari , viwanja vipo kwa jina la X , basi X atachukua vitu vyake.
Dah, Kuna muda nafurahia kuwa mwenyewe.Good for you
Mie mwanaume wangu simpi space...ikitokea nikampa( Mungu atuepushie hili) ujue ndo kimoja hakuna kurudi
Piga goti na suti yako yenye mpasuo "kajamba-nani" unogeshe huba mkuu.Moja kati ya kitu sito fanya, ni kupiga magoti broo😂🤣
MC Pilipili aione hii kwenye jalada kwa ufuatiliaji dondoo hiyo ya drama.
Dah, Kuna muda nafurahia kuwa mwenyewe.
una kuwa hapa na pale, uki rudi ni ndani tu.
series, vitabu au kucheza ps una shangaa Mwaka ume kata😂🤣
Hata maiti yangu haito piga goti 😂🤣Piga goti na suti yako yenye mpasuo "kajamba-nani" unogeshe huba mkuu.
Aaaaa subweeengeee!Nani apige goti?Wanaoweza hilo waendelee.Lakini mwanaume ndiye anatakiwa kupiga goti wakati wa kuvalishana pete
Japo ni drama
Hata kama Sheria hiyo itafutwa, bado tatizo hilo la Wanawake Watalaka kuendelea kunufaika kutokana na talaka litaendelea kuwepo. Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba kiuhalisia majanga ya Wanaume Watalaka kuendelea kufilisiwa Mali zao mara tu baada ya ndoa kuvunjika chanzo chake hasa ni wao wenyewe Wanaume. Wanaume wengi sana huwa hawapo makini kabisa kuhusiana na suala zima la kulinda Mali zao wanazozichuma wao wenyewe ili zisiweze kuporwa na Wanawake matapeli wa ndoa, matokeo yake hao Wanawake matapeli wa ndoa wanapata mwanya wa kupora mali zote kabisa za mwanume mzembe kwa kupitia njia ya talaka.Kuna sheria za Marekani za ajabu imagine uki mdivorce mke wako mgao wa mali pasu pasu . Trump amependekeza kuifuta hiyo sheria ametuwakilisha vyema wanaume. Mwanamke anatakiwa aondoke na begi lake la nguo tu
Aaaaa subweeengeee!Nani apige goti?Wanaoweza hilo waendelee.
NB;Uzungu/tamaduni zingine hazifai kwa mwafrika.Siyo letu hilo.
Nisha jaribu Mara 2, una chukua namba Kisha una kuta ni whack.Mmmh
Ningefanya hivyo naamini ndugu zangu wangenipeleka suna mara ya pili.Watu tunapigiwa magoti na heshima,upendo,maelewano yapo sana tu
KiSio aondoke na begi la nguo, kila mtu achukue kilicho kwenye jina lake, basi.
Kama magari , viwanja vipo kwa jina la X , basi X atachukua vitu vyake.
Hhhh kazi ipoMwanamke hata ukimtumia pesa kusimamia ujenzi anakwambia ni ya kwetu tulijenga wote.
kuna mmoja alitaka niandike jina lake sehemu , nilimsoma na kujua ni mkora mwenye tamaa ya mbali sijui hata alifia wapi Yule kiumbeHapana, kila mtu achukue kilicho kwenye jina lake.., kwanini utake kuchukua kisicho chako?
Sheria hii inasababisha wanawake wengi kudai talaka bila sababu za msingi ili kufilisi na kutapeli jasho la mwanaume..
Kwani hawa wanawake wanaoajiriwa huko TRA hawana ndoa?Hapo hamna ndoa hapo ni partnership. Sasa unadhani mke atakubali kubaki nyumbani? Na yeye lazima atataka kutoka na yeye afanye kazi atafute mali zake. Sasa hiyo ni ndoa au uhuni?
Hapana kuna kitu kinaitwa prenup agreement. Unapaswa kumsainisha mwanamke.Kuna sheria za Marekani za ajabu imagine uki mdivorce mke wako mgao wa mali pasu pasu . Trump amependekeza kuifuta hiyo sheria ametuwakilisha vyema wanaume. Mwanamke anatakiwa aondoke na begi lake la nguo tu
Tanzania hawana hii sheria, inabidi iletweHapana kuna kitu kinaitwa prenup agreement. Unapaswa kumsainisha mwanamke.
Ukisahau hilo utafyokotolewa
Ina umuhimu sana , haki za wanaume zina dhulumiwa kwa utapeli wa ndoaTanzania hawana hii sheria, inabidi iletwe
Kabisa.., nimesoma sheria ya ndoa, hamna kabisa kipengele cha prenup, hii inatoa mwanya wa utapeli mkubwa kwa wanaume..Ina umuhimu sana , haki za wanaume zina dhulumiwa kwa utapeli wa ndoa