Mkiachana na mwanamke hakuna mgao wa mali. Anatakiwa aondoke na begi lake la nguo

Kuna sheria za Marekani za ajabu imagine uki mdivorce mke wako mgao wa mali pasu pasu . Trump amependekeza kuifuta hiyo sheria ametuwakilisha vyema wanaume. Mwanamke anatakiwa aondoke na begi lake la nguo tu
Sasa mwanasheria,mimi wangu nilimteka hakuja na begi.Hapo nikimfurusha imekaaje na aondokeje kitaalamu?
 
Kuna sheria za Marekani za ajabu imagine uki mdivorce mke wako mgao wa mali pasu pasu . Trump amependekeza kuifuta hiyo sheria ametuwakilisha vyema wanaume. Mwanamke anatakiwa aondoke na begi lake la nguo tu
Uislamu umeelekeza endapo utamuacha mke wako basi mpe jpo kitoka nyumba akaanzie maisha huko anapokwenda lkn sio mambo hya ya pasu kwa pasu

Qur'an ipo mbele ya muda kwa kila kitu
 
Hapana, kila mtu achukue kilicho kwenye jina lake.., kwanini utake kuchukua kisicho chako?

Sheria hii inasbabisha wanawaek wemmgi kudai talaka bila sababu za msingi ili kufilisicna kutapeli jasho la mwanaume..

Hii pia ni idea nzuri
Kuna baadhi ya wanawake wanachukulia kama ndoa ni sehemu ya kutoboa kipesa/kimaisha

Ingekuwa vizuri zaidi kama wangewekeana mkataba wa kila alicho-contribute mwanandoa kukamilisha jambo fulani,mfano tukinunua kiwanja tuandikishane mke alitoa sh ngapi na mume alitoa ngapi ili wakati wa kugawana tuwe na references

Ubaya Ubwela
 
Hii pia ni idea nzuri
Kuna baadhi ya wanawake wanachukulia kama ndoa ni sehemu ya kutoboa kipesa/kimaisha

Ingekuwa vizuri zaidi kama wangewekeana mkataba wa kila alicho-contribute mwanandoa kukamilisha jambo fulani,mfano tukinunua kiwanja tuandikishane mke alitoa sh ngapi na mume alitoa ngapi ili wakati wa kugawana tuwe na references

Ubaya Ubwela
mahari yako iongezwe Mara ×2, una tema nondo kali mno.
 
Mkuu wazi io haina mjadala
Ngoja wanawake waje...
Women mkuje mnaitwa huku
 
Hii pia ni idea nzuri
Kuna baadhi ya wanawake wanachukulia kama ndoa ni sehemu ya kutoboa kipesa/kimaisha

Ingekuwa vizuri zaidi kama wangewekeana mkataba wa kila alicho-contribute mwanandoa kukamilisha jambo fulani,mfano tukinunua kiwanja tuandikishane mke alitoa sh ngapi na mume alitoa ngapi ili wakati wa kugawana tuwe na references

Ubaya Ubwela
Duh!Hauoni unajiandaa kuachana kabla ya ndoa kwa idea hiyo?
 
Back
Top Bottom