Mke ana mimba ya baba mkwe

Mpo wakuu?

Ninaye rafiki yangu. Baada ya kuwa nje ya nchi kwa miaka miwili amerudi nyumbani na kukuta mkewe wa ndoa akiwa na mimba ya miezi nane.

Kumwuuliza mwenye mimba mkewe amemwambia kwamba mimba ni ya baba mkwe.

Amekuja kwangu kuniomba ushauri kwani anapaswa kurudi tena wiki ijayo.

Alikuwa anataka kuwaua wote wawili ila nikamwambia hilo sio suluhisho. Amesema atarudi kesho kupata ushauri zaidi.

Nipeni ushauri wa haraka.
"..Da wanawake bwana"
 
Amuachie huyo mke babake, yeye aendelee Na maisha mengine....!
 
Amheshimu huyo mwanamke kama mama yake (Mke wa baba yake), halafu yeye atafute mwingine maana hakuna namna
 
Dah kazi kweli kweli....Ehee kabla ya kumwacha mke wake walibahatika,kujaliwa kupata watoto, mtoto?
 
Inauma lakini hana haja ya kuua....arudi zake nje akaanze maisha mapya.....pia kuna uwezekano baba kapiga game lakini mtoto wa jamaa mwingine dunia duara
 
Mpo wakuu?

Ninaye rafiki yangu. Baada ya kuwa nje ya nchi kwa miaka miwili amerudi nyumbani na kukuta mkewe wa ndoa akiwa na mimba ya miezi nane.

Kumwuuliza mwenye mimba mkewe amemwambia kwamba mimba ni ya baba mkwe.

Amekuja kwangu kuniomba ushauri kwani anapaswa kurudi tena wiki ijayo.

Alikuwa anataka kuwaua wote wawili ila nikamwambia hilo sio suluhisho. Amesema atarudi kesho kupata ushauri zaidi.

Nipeni ushauri wa haraka.
Mwambie afumbe macho tu ajirudie kazini itapata mke bora na hao walio msaliti Mungu atawalipa kwa ufedhuri wao........pia huo ni mtihani wa mwenyezi Mungu kwani kila litokealo Mungu anamakusudi nalo.........ila pia mpe pole sana maana inauma sana.
 
Sasa kama anasepa anawaza nini? Kitu rahis ka hiki nacho chataka ushauri?
 
Back
Top Bottom