Mke ammwagia mume na hawara maji ya moto baada ya kuwafumania (Picha zinaogofya kidogo)

Mbaya sana hii wahusika hawatakaa waisahau siku hii waliyo mwagiwa maji...Ila mabinti wengi wao sijui wako na shida gani binti mdogo kama huyo kaenda jiingiza kwa mume wa mtu kabisa halafu kiboya boya tu...Kweli hapo ndipo naamini wanawake wengi siku hizi wanapenda sana waume za watu.
 
Hiyo image ya "waliolaliana" mbona haihusiani na story kabisa?!!
Hiyo si scrupture ya kwenye bustani flani pale China!!
 
Tulia na mke wako, ulimpata akiwa binti chuchu saa sita, ukazinyonya na wana wakanyonya mpaka zikalala leo hii unaziita lapa au raba unakwenda kwa mabinti. Mimi ningechoma huo mtarimbo kabisa.
 
Tulia na mke wako, ulimpata akiwa binti chuchu saa sita, ukazinyonya na wana wakanyonya mpaka zikalala leo hii unaziita lapa au raba unakwenda kwa mabinti. Mimi ningechoma huo mtarimbo kabisa.
Tehee kumbe hata mume wa mtu ni sumu
 
hakuna neno "darsa" katika kamusi ya kiswahili ila darasa. labda wewe utupe msaada zaidi...

Hiyo kamusi haijaandikwa na Waswahili.

Nimeshatowa darsa mara nyingi sana kuhusu hilo. Fanya homework yako, tumia search engine ya JF utapata majibu.
 
Kabinti bado kanaita aiseee vichuchu vizuriiiii inaonekana na k mnato .hiii ni bahati mbaya tuu.i wish nimwone na huyo mwanamke niwalinganishe yupi mkaliii
 
lakini hii ya kuwapiga watu picha hospitalini naona si sawa. Hospitali ni mahali pana maadili yake ambayo wafanyakazi au wote wanatakiwa kuweka masilahi ya mgonjwa mbele hata kama huyo mgonjwa ni mhalifu au adui mateka - hii haifai
 
Hiyo kamusi haijaandikwa na Waswahili.

Nimeshatowa darsa mara nyingi sana kuhusu hilo. Fanya homework yako, tumia search engine ya JF utapata majibu.
1. Nimeshatowa = Nimeshatoa:D
2. tunaongelea neno darasa, wewe umeandika darsa. Kama kuna kamusi nyingine zaidi ya ile ya TUKI yenye neno hilo tafadhali nipatie.
 
1. Nimeshatowa = Nimeshatoa:D
2. tunaongelea neno darasa, wewe umeandika darsa. Kama kuna kamusi nyingine zaidi ya ile ya TUKI yenye neno hilo tafadhali nipatie.

Wewe wafate tuki, mimi Kiswahili ni asili yangu si cha kujifundisha kupitia kamusi. Kumbuka hilo.
 
dah kila siku nawaambiaa wanawake ni magaidii mnakataa

Kamharibu mwenzake kwenye manyungulusi na makagalii mpaka kibwenye kimeiva utazani nyama ya ndafu ya kubanikwaa

Kwa alichokifanya huyu mwanamke wa Zambia ..hakiyawalaii .mama yenu mdogo wa Zambia yulee niliyekuwa namuimbia amarulah. naenda kumpa talaka
Ili asije akaniunguza na mimi kibanjukio changu
 
Back
Top Bottom