Miradi mikubwa inayoendelea Kenya

Deni lisikutie wasiwasi maana tulikopa sisi na tutalipa sisi, cha msingi ni kuhakikisha tunasimamisha miundo mbinu itakayotuweka kwenye level nyingine.
Tunapaa na kupepea, nyie hata mpewe madeni na fadhila na misaada hamna siku mtakaribia hata nyuma yetu.
Mbona huwa unaropoka Tanzania tunatembeza kibakuli
Kumbe nyie mnadeni kubwa zaidi yetu
 
Mradi wa LAPPSET ambao unahusu ujenzi wa bandari, reli, barabara, bomba la mafuta, kiwanda cha usafishaji wa mafuta, uwanja wa ndege na miji kadhaa.

lapsset.gif


1140245.jpg
 
Deni lisikutie wasiwasi maana tulikopa sisi na tutalipa sisi, cha msingi ni kuhakikisha tunasimamisha miundo mbinu itakayotuweka kwenye level nyingine.
Tunapaa na kupepea, nyie hata mpewe madeni na fadhila na misaada hamna siku mtakaribia hata nyuma yetu.
Hehehe unadaiwa Ksh 79000
utakoma
 
Mbona huwa unaropoka Tanzania tunatembeza kibakuli
Kumbe nyie mnadeni kubwa zaidi yetu

Jua kuna tofauti kati ya "deni" na "misaada". Kila nchi dunia hii ina deni, lakini nyie kibakuli mnatembeza cha kuomba misaada kwa ajili ya bajeti la taifa. Hapo ndio tofauti ilipo kati yetu. Yaani mnategemea misaada kulipa mishahara...
 
Mh!!! Hii nihatari kwa Taifa
Linalo jiita lipo ulimwengu wa pili

America ina population ya 300,000,000

Ina deni la 17,000,000,000,000$

Kila marekani anadaiwa
56,666.666667$
Or
5,666,666.66667 kshs

Or

102,000,000 tzshs acha kuanika aibu yake the higher you go the more debt you accumulate

Economics 101 / keeping up with the jonesses

Kama umeenda chuo utajipata unajua haya
 
Uchimbaji wa mafuta, inakisiwa mahesabu yakifanyika kufikia sasa tutakua tunachezea kwenye bilioni kadhaa za mapipa.

f6129dcb2c7fac0c859e2a1a84c0a98f.png


b0a1c6465d17f8c6caeace4941146195.png
 
MK254 the funny thing external debt ya Kenya ni kidogo uki compare na Tanzania juu banking system ya Kenya ina pesa mingi ina kopesha serikali unlike TZ


Here is the top 20 nations na madeni duniani


Rank
Country
External debt [2]
US dollars
Date
Per capita[3][4][5][6]
US dollars
% of GDP [7][8][9]
1
United States
19,136,052,433,969 [10]
31 December 2015
58,255
103
2
United Kingdom
9,591,672,000,000
31 March 2014
46,244
569
3
France
5,750,152,000,000
31 March 2014
86,317
222
4
Germany
5,546,869,000,000
31 March 2014
68,720
145
5
Luxembourg[note 1]
3,472,282,000,000
31 March 2014
3,696,467
3,443
6
Japan
2,861,488,000,000
31 March 2014
24,000
60
7
Italy
2,651,413,000,000
31 March 2014 est.
43,621
124
8
Netherlands
2,526,895,000,000
31 March 2014
226,503
316
9
Spain
2,305,648,000,000
31 March 2014
52,045
167
10
Singapore
0 [11]
13 November 2015
226,930
408
11
China
1,680,000,000,000
30 June 2015 [12]
1,195
16.2
12
Switzerland
1,610,897,000,000
31 March 2014
193,939
229
13
Canada
1,491,000,000,000
31 March 2014 est.
37,165
92
14
Australia
1,395,638,000,000
31 March 2014 est.
52,596
95
15
Belgium
1,286,918,000,000
31 March 2014
113,603
266

Hong Kong
1,231,233,000,000
31 March 2014 est.
105,420
334
16
Sweden
1,145,785,000,000
31 March 2014
91,487
187
17
Austria
820,010,000,000
31 March 2014
90,128
200
18
Norway
737,118,000,000
31 March 2014
131,220
141
19
Russian Federation
599,819,000,000
31 March 2014
3,634
23
20
Denmark
593,221,000,000
31 March 2014
101,084
180
.
.
.
.
88
Tanzania
11,180,000,000
31 December 2014 est.
183
33
.
.
.


126
Kenya
6,624,000,000
31 March 2015 est.
200
25


Madeni ya Kenya mingi ni hizi za KCB EQUITY, ETC


TUNAWEZA WALIPA.

CBK YA KENYA INA

FOREIGN RESERVES ZA HARD CASH
10.57BN$

CHINESE LOAN NI CONSESSION LOAN PAYABLE OVER 40YEARS......

TANZANIA MNA LIDENI SI KADENI MUWACHE PANG'ANG'A MINGI
 
LIDENI mnalo hamna????

Mumekimbia wote kutafuta propaganda za CCM kumake sure deni ni real???

Hahahaha

Kenya per capita yetu 2950$ =295,000 growing at 6.4%

By 2030 per capita ya mkenya itakuwa 3,000,000 =30000$ tukistagnate kwa 5%

Deni ni 79,000 kshs per person payable over 30yrs hahaha


Tuna deni la 15bn $

World bank imeweka reach ya Kenya 29bn$

Kumaanisha tunaeza kopa 15bn$ more kabla tuanze kuteseka kulipa

THAT IS WHAT MIDDLE INCOME MEANS WE CAN FINANCE 10,000KM RAILWAY line n still be standing after... Isitoshe KRA COLLECTED 19BN$ IN TAX REVENUE LAST YEAR THIS YEAR INAPANGA 23BN$ TARGET!!!!

In blue are the least developed nations in earth

1024px-Least_Developed_Countries_map.svg.png


The rest are middle income looking at industrialisation and pure development
 
America ina population ya 300,000,000

Ina deni la 17,000,000,000,000$

Kila marekani anadaiwa
56,666.666667$
Or
5,666,666.66667 kshs

Or

102,000,000 tzshs acha kuanika aibu yake the higher you go the more debt you accumulate

Economics 101 / keeping up with the jonesses

Kama umeenda chuo utajipata unajua haya
America is capable of paying it hata Leo,
Vipi nyie, mkiambiwa mlipe Leo si mtauza nchi na bado deni lisilipwe??
Usipende kujilinganisha na america. U will never be like america.
 
Are you sure America is capable of paying????

GDP ya America 17 trn$ deni 19trn $

Mitized zinaongea nikama hazija kanyaga shule hata......


Kuna reason why we are to pay in 40yrs na sio mara moja ndio maana tunazichukua....

The longest concession loan ni a loan ya 300bn$ ya marekani iliyo pewa na mchina anafaa alipe na 250yrs.... Tafadhali nendeni msome mnaandika ujinga tu
 
1024px-least_developed_countries_map-svg-png.338155


Samm999 hiyo ramani inaonyesha jinsi tumezungukwa na umaskini wakati sisi tunang'aa, hata sleeping giant limelala fofofo!!

Ndio maana chuki imejaa Ukiona discussions kule nairaland among peers Nigeria - South Africa - Kenya its all love.... Hakuna chuki kule ni upendo tu juu tunapesa kwa uwingi lakini michawi of the south na kinyongo!!!! Utashanga
 
Back
Top Bottom